Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,260
Anatahiriwa kwa kutumia kisu kama unavyoona hapo halafu bila ya ganzi!
yalaah toba mtume!!
Anatahiriwa kwa kutumia kisu kama unavyoona hapo halafu bila ya ganzi!
Aisee
Thank God kwa kuniumba mwanamke
Kuna jamaa yangu mkurya aliniambia kwao ndo wanafanyiwa hivyo ukifanyiwa hospital unaonekana si mwanaume kamili!yalaah toba mtume!!
Ukifanyiwa hicho kitendo wakikutishia kukung'oa meno bila ganzi wala huogopi chochote.
unajua wakati huu karibu kila kitu watu wanasema "mitazamo inabidi kubadilika na kuiangalia kwa makini" siyo kila mtazamo ni wa kuungalia na kuubadilisha kwasababu hauwezi kubadilika na hata hauhitaji kutazamwa! ni wazi kwamba aliyekwepa mishale mingi huyo ndiye anauzoefu wa mambo mengi! inawezekana akawa maskini si kwasababu ya mtazamo huo ila kwasababu ya vitu vingi! na mtu kama huyo akipata nafasi huwa na uwezo mzuri sana wa kuitumia vizuri coz hapendi kurudi katika matatizo!
kama mtu kaweza kuvumilia na kupita katika matatizo makali basi mtu huyo ni rahisi kupita vikwazo vingi na hatimae mafanikio! experience ina umuhimu wake mkuu!
unajua wakati huu karibu kila kitu watu wanasema "mitazamo inabidi kubadilika na kuiangalia kwa makini" siyo kila mtazamo ni wa kuungalia na kuubadilisha kwasababu hauwezi kubadilika na hata hauhitaji kutazamwa! ni wazi kwamba aliyekwepa mishale mingi huyo ndiye anauzoefu wa mambo mengi! inawezekana akawa maskini si kwasababu ya mtazamo huo ila kwasababu ya vitu vingi! na mtu kama huyo akipata nafasi huwa na uwezo mzuri sana wa kuitumia vizuri coz hapendi kurudi katika matatizo!
kama mtu kaweza kuvumilia na kupita katika matatizo makali basi mtu huyo ni rahisi kupita vikwazo vingi na hatimae mafanikio! experience ina umuhimu wake mkuu!
![]()
Sidhani kama huyu atakuwa kula kulala, huyu ni lazima atakuwa fighter ambaye atahakikisha anaipeleka familia yake kwenye level za juu kabisa.
I salute you
Sijaelewa anafanywaje apo!?
ndo maana nchi zetu zinabaki na zitaendelea kuwa maskini...unless tunabadili mitazamo yetu kuhusu mambo mbali mbaliunajua wakati huu karibu kila kitu watu wanasema "mitazamo inabidi kubadilika na kuiangalia kwa makini" siyo kila mtazamo ni wa kuungalia na kuubadilisha kwasababu hauwezi kubadilika na hata hauhitaji kutazamwa! ni wazi kwamba aliyekwepa mishale mingi huyo ndiye anauzoefu wa mambo mengi! inawezekana akawa maskini si kwasababu ya mtazamo huo ila kwasababu ya vitu vingi! na mtu kama huyo akipata nafasi huwa na uwezo mzuri sana wa kuitumia vizuri coz hapendi kurudi katika matatizo!
kama mtu kaweza kuvumilia na kupita katika matatizo makali basi mtu huyo ni rahisi kupita vikwazo vingi na hatimae mafanikio! experience ina umuhimu wake mkuu!
Kuna jamaa yangu mkurya aliniambia kwao ndo wanafanyiwa hivyo ukifanyiwa hospital unaonekana si mwanaume kamili!
i thank Him for making anestheticsAisee
Thank God kwa kuniumba mwanamke
![]()
Sidhani kama huyu atakuwa kula kulala, huyu ni lazima atakuwa fighter ambaye atahakikisha anaipeleka familia yake kwenye level za juu kabisa.
I salute you