Anatahiriwa kwa kutumia kisu kama unavyoona hapo halafu bila ya ganzi!Sijaelewa anafanywaje apo!?
![]()
Sidhani kama huyu atakuwa kula kulala, huyu ni lazima atakuwa fighter ambaye atahakikisha anaipeleka familia yake kwenye level za juu kabisa.
I salute you
kuna uhaba wa wanaume sana siku hizi...mana it seem u never.....unajua sisi bana wafrika sisi...kuna watu maisha ya kimaskini huyageuza ni sifa....yaani unakuta mtu anajisifu...mimi nimeshi maisha magumu wewe hunifanyi kitu!!!..(kumbe ni ujinga na uzembe tu ndo umesababisha) au mwingine mimi ninaishi uswazi wewe huwezi kuniambia kitu(kumbe ni maisha magumu na kuofanya homework zetu vizuri ndo zimetufanya tuishi uswazi) LAKINI SIO SIFA.....yaani namaanisha SIO SIFA KUISHI MAISHA YA TAABU
![]()
Sidhani kama huyu atakuwa kula kulala, huyu ni lazima atakuwa fighter ambaye atahakikisha anaipeleka familia yake kwenye level za juu kabisa.
I salute you
wala hana tofauti....hivi unafikiri mzungu aliyetairiwa hospitali....uanaume wake unakua haujakamilika compared to mmakonde aliyetairiwa porini...kuna mitazamo ya maisha inabidi kuibadilisha na kuiangalia kwa umakini...hiyo picha na malengo ya mleta uzi naona kama vinaendana tofauti na ulichoandika!
stori nyingi zinatuambia hivyo ndivyo uanaume wa kijana ulivyokuwa unapimwa! (masculine)
lia uone kama utaoa! hapo siyo suala la maisha magumu!
halafu mtu aliyepitia maisha magumu huyo ndiye anauzoefu mkubwa na dunia hii tofauti na yule ambae kila kitu analetewa! shida hufunza!
Aisee
Thank God kwa kuniumba mwanamke
wala hana tofauti....hivi unafikiri mzungu aliyetairiwa hospitali....uanaume wake unakua haujakamilika compared to mmakonde aliyetairiwa porini...kuna mitazamo ya maisha inabidi kuibadilisha na kuiangalia kwa umakini...