Huyu ndiye mwanamke na thamani yake!!..

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Do you think that you have captured my mind? Hahahaaaaa......! Ni ukweli usiopingika kuwa malezi bora kutoka kwa baba na mama yana nafasi kubwa sana katika kumjenga mtoto. Na ndo maana nikasema kuwa wababa mlijisahau sana katika hili na wengine mkashindwa kutimiza majukumu yenu katika familia mkidhani watoto wote wanazaliwa na akili moja! Tatizo lako ni kwamba, unamlaumu mama anaefanya kazi lakini hauangalii kwanini huyo mama anaamua kuiacha nyumba yake asubuhi na kwenda kutafuta riziki?
<br />
<br />
No i don't,and i didn't mean that,sababu ya mama kufanya kazi leo ni matokeo ya malezi mabovu ya mumewe alipokuwa mdogo!
 
mie nafikiri mwanamke anaweza fanya kazi na bado akaprovide malezi mazuri tu kwa family,ukizingatia watoto siku hizi unarudi home na wao ndio wanaingia toka shule unless uwe mama wa mitoko ya mara kwa mara,mama yangu mie alifanya kazi na still alipata muda mzuri tu wa kutupa maadili na kumtake care mumewe
<br />
<br />
Nani alikuambia mtu anaweza akapanda farasi wawili na akafika salama aendako?
 
<br />
<br />
Tena ni hatari sana!Matatizo yote tuliyonayo ni matokeo ya hii kitu!Kama tunajipenda tubadilike!
Cha muhimu wanaume tusake mkwanja wa kueleweka, ili wake zetu wasipate tabu kupiga kazi kwanza itakua ngumu mana mabosi watatongoza tu, ya nini tugongewe wife bureee. So is up to us wanaume.
 
Cha muhimu wanaume tusake mkwanja wa kueleweka, ili wake zetu wasipate tabu kupiga kazi kwanza itakua ngumu mana mabosi watatongoza tu, ya nini tugongewe wife bureee. So is up to us wanaume.
<br />
<br />
Hata umiliki dunia yote atadai anayoiita haki yake ya kuvurugana na kazi huku wanae wakilelewa na house girl alietelekeza wanae watatu kwa kushindwa kuwalea!!
 
yaan acha tu kaka yangu

uyu mwandishi wa mada sjui kachapwa na mamayake leo manake dah...tuhuma moja kwa moja as if ajui kwa nini...sjui anaisha dunia gan..

he is so narrow.... I TOLD HIM..KI UHALISISA YES ILIBID IWE IVO ATA KWENYE MAANDIKO imeonyeshwa ivo MWANAMKE KI HOME HOME ANALEA WATOTO N ol domestics MWANAUME NDO AINGIE VCHAKAN KUTAFUTA NA KULETA MKATE HOME ...lakin kwa maisha aya ya sasa hali iyo aipo...na si km wanawake wamependa kwenda mzigon ni hali imekuwwa ivyo..
na katika malez uwez kumtusi mwanamke peke yake ata wanaume wengne wanakuwa role moddel wabaya sana kwa watoto ....



yes kutokuwepo kwa malez ya mama 24/7 home yanachangia watoto kutokwenda kwenye mstari mwema bt STILL ISN SUFFICIENT REASON KUWANYOSHEA VDOLE WANAWAKE ET NDO CHANZO....

WE MWANDISH ebu waza kwa mapana...usiwaze kwa chuk tu juu yua wanawake...angalia kwwa mapana nini kinasababisha...

wangap wamesomeshwa na mama zao tu..wakat mding upo anakunywa tu pombe?
apo utasemaje sasaa?
mama asingeenda kuuza ndizi ili apate sent za kukulipia ada?


mama asingeangaika kutafuta pesa za dawa ukiumwa?

we mwandish naomba umri pls nisije nkawa natoa sh 10 kumbe kiwango chako ni sumni moja...

Rose mbona ukali tena?!
Kwa hili hata mm nakuunga mkono kwa asilimia kadhaa lakini pia bado hamuwez kukwepa lawama ninyi kama wanawake.
Wanaume pia tunapaswa kulaumiwa kama tutajadili matoke kama ulivyofanya wewe hapa. But kumbuka hii thread inazungumzia chanzo cha tatizo na sio matokeo ya tatizo na pia wakina baba kutelekeza familia zao chanzo inaweza kuwa ni malez mabovu waliyopata kutoka kwenu wakina mama na ndio thread hii imechambua.
 
Ukengeufu hautazuilika... Kwa hiyo lazima watu waache uasili wakomae na maisha ya ki artificial ili wakengeuke zaidi. Mazingira, uzembe, umakusudi, kutokujua nk vinaweza kusababisha hayo. Lkn hayo yote hayaondoi ukweli... Ukiisoma mada hakuna sehemu ameonyesha chuki kwa wamama, amelaumu jamii kwa ujumla na akaweka mkazo kwa wamama kwa sbb mada inamulika eneo 'lililokuwa'jukumu la wamama! Jamii imepotoka sana, angalia hapa kizazi hiki kilicholelewa 'hewani' unakuta familia inajiweza, wana biashara kubwa au baba ana kazi/pato kubwa na anaihudumia familia vizuri lkn humkuti mama nyumbani! Na yeye anakomaa 'kuongeza pato'. Sasa hivi ukienda baa utakuta idadi ya wanaume na wanawake ni karibu sawa... Na jamii inaona sawa tu. Ila kwenye mijadala kama hii wanaume ndio walevi!!! Kizazi hiki kinajaribu kupambana na tatizo la kiuchumi kwa gharama ya kuvunja muundo wa familia na malezi!!!
 
Eiyer..<br />
<br />
Chukulia Idea yako imefanikiwa..,then jamii imemfanya mwanamke kuwa mlezi wa familia.,na mwanamme mtafutaji..<br />
Vp kwa wale wanawake ambao watakuwa hawajaolewa na umri wao hauwaruhusu kukaa na wazazi wao..,unadhani watapika nini?<br />
Vp kwa wale wajane walioachiwa watoto..,wataishije na tumewajengea tabia ya kutotafuta..?<br />
<br />
Ni bora wote tukatafute..kwani kama mwanamke ndiye mlezi mzuri hata Housegirl ni mwanamke kwahiyo anazosifa za kumjenga mtoto.
<br />
<br />
Hao ambao hawajaolewa watafukuzwa kwao?Halafu huyu ambae hana familia sio mbaya kufanya kazi.Kuhusu housegirl,kuna methali inasema uchungu wa mwana aujuae mzazi!
 
<br />
<br />
Hata umiliki dunia yote atadai anayoiita haki yake ya kuvurugana na kazi huku wanae wakilelewa na house girl alietelekeza wanae watatu kwa kushindwa kuwalea!!

haaah so tufanyeje?mana umewapa ukwel hapa wanakuja juu mno, dah nimeamin ukwel unauma!
Ila nasi pia wanaume tuna makosa kwa upande fulani
 
haaah so tufanyeje?mana umewapa ukwel hapa wanakuja juu mno, dah nimeamin ukwel unauma!<br />
Ila nasi pia wanaume tuna makosa kwa upande fulani
<br />
<br />
I knw but sisi makosa yetu yanasababishwa na wao!
 
Ukengeufu hautazuilika... Kwa hiyo lazima watu waache uasili wakomae na maisha ya ki artificial ili wakengeuke zaidi. Mazingira, uzembe, umakusudi, kutokujua nk vinaweza kusababisha hayo. Lkn hayo yote hayaondoi ukweli... Ukiisoma mada hakuna sehemu ameonyesha chuki kwa wamama, amelaumu jamii kwa ujumla na akaweka mkazo kwa wamama kwa sbb mada inamulika eneo 'lililokuwa'jukumu la wamama! Jamii imepotoka sana, angalia hapa kizazi hiki kilicholelewa 'hewani' unakuta familia inajiweza, wana biashara kubwa au baba ana kazi/pato kubwa na anaihudumia familia vizuri lkn humkuti mama nyumbani! Na yeye anakomaa 'kuongeza pato'. Sasa hivi ukienda baa utakuta idadi ya wanaume na wanawake ni karibu sawa... Na jamii inaona sawa tu. Ila kwenye mijadala kama hii wanaume ndio walevi!!! Kizazi hiki kinajaribu kupambana na tatizo la kiuchumi kwa gharama ya kuvunja muundo wa familia na malezi!!!
<br />
<br />
I realy like this!!!!
 
Rose mbona ukali tena?!<br />
Kwa hili hata mm nakuunga mkono kwa asilimia kadhaa lakini pia bado hamuwez kukwepa lawama ninyi kama wanawake.<br />
Wanaume pia tunapaswa kulaumiwa kama tutajadili matoke kama ulivyofanya wewe hapa. But kumbuka hii thread inazungumzia chanzo cha tatizo na sio matokeo ya tatizo na pia wakina baba kutelekeza familia zao chanzo inaweza kuwa ni malez mabovu waliyopata kutoka kwenu wakina mama na ndio thread hii imechambua.
<br />
<br />
EXACTILY!!!!....
 
Hivi kazi ni za ofisini tu?
Mbona vijijini sehemu kubwa wanawake hawafanyi kazi za ajira (kama hizo ndio mbaya) na bado malezi ni duni? Nadhani ni mfumo wote umeenda kombo na sio tu wanawake eti wanataka kujilinganisha na wanaume. Na kama wapo si wote. Wako wanawake wanaofanya kazi na bado wanalea watoto wao vizuri tu. Upungufu nionavyo mimi ni wa jamii kwa jumla sio wanawake tu. Hakuna watoto kama sio mahusiano ya wanawake na wanaume. Hivyo malezi yanapaswa kufanywa na wote. Familia ikipangilia vizuri bado muda wa malezi ya watoto kwa namna stahiki yatapatikana.

Mada japo nzuri lakini imeangaliwa kifinyu kwani kuna mambo mengi yamehusika kuifikisha jamii hapa.
 
Eiyer<br />
<br />
Naomba kuuliza kabla sijakomenti je wewe unakumbu kumbu mbaya za utotoni?<br />
<br />
Nataka kuelewa imekuwaje umeandika uliyoandika.
<br />
<br />
Nimeandika haya kutokana na uchungu wa yanayotokea kwenye jamii yetu,sina kumbukumbu yoyote mbaya ya utotoni!
 
Hivi kazi ni za ofisini tu? <br />
Mbona vijijini sehemu kubwa wanawake hawafanyi kazi za ajira (kama hizo ndio mbaya) na bado malezi ni duni? Nadhani ni mfumo wote umeenda kombo na sio tu wanawake eti wanataka kujilinganisha na wanaume. Na kama wapo si wote. Wako wanawake wanaofanya kazi na bado wanalea watoto wao vizuri tu. Upungufu nionavyo mimi ni wa jamii kwa jumla sio wanawake tu. Hakuna watoto kama sio mahusiano ya wanawake na wanaume. Hivyo malezi yanapaswa kufanywa na wote. Familia ikipangilia vizuri bado muda wa malezi ya watoto kwa namna stahiki yatapatikana. <br />
<br />
Mada japo nzuri lakini imeangaliwa kifinyu kwani kuna mambo mengi yamehusika kuifikisha jamii hapa.
<br />
<br />
Unaposema malezi duni unakuwa unamaanisha nini?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
No i don't,and i didn't mean that,sababu ya mama kufanya kazi leo ni matokeo ya malezi mabovu ya mumewe alipokuwa mdogo!
<br />
<br />
Eiyer, nilikuuliza hivi wanaume wengi wa kiafrica wamefundishwa na mama zao kushinda vilabuni wakinywa pombe?? Coz hii tabia nimeiona imeanzia toka enzi za mababu na imeathiri sana jukumu la baba katika kulea, na wengine ndo hao wanakuwa addicted wanaishia kuondoka nyumbani alfajiri na kurudi usiku wakiwa chakari wasione hata nyuso za watoto wao na wala wasijue hata hali zao. Wengine ndo kabisa wanakuwa unsound minded na kuanza kuporomosha makonde kwa wake zao bila sababu!! Kwa ukanda wa Pwani every day wababa wamerithi hii tabia ya kuwa wanashinda wakicheza bao kwa majirani asubuhi mpaka jioni na wasiache hata hela ya sukari na akirudi ndani mkali kama mbogo eti nae utamtetea ni malezi ya mama yake.....lol!! Hayo hamyaoni? Wababa wenyewe mnakuwa icon mbaya kwa watoto wenu!!!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Eiyer, nilikuuliza hivi wanaume wengi wa kiafrica wamefundishwa na mama zao kushinda vilabuni wakinywa pombe?? Coz hii tabia nimeiona imeanzia toka enzi za mababu na imeathiri sana jukumu la baba katika kulea, na wengine ndo hao wanakuwa addicted wanaishia kuondoka nyumbani alfajiri na kurudi usiku wakiwa chakari wasione hata nyuso za watoto wao na wala wasijue hata hali zao. Wengine ndo kabisa wanakuwa unsound minded na kuanza kuporomosha makonde kwa wake zao bila sababu!! Kwa ukanda wa Pwani every day wababa wamerithi hii tabia ya kuwa wanashinda wakicheza bao kwa majirani asubuhi mpaka jioni na wasiache hata hela ya sukari na akirudi ndani mkali kama mbogo eti nae utamtetea ni malezi ya mama yake.....lol!! Hayo hamyaoni? Wababa wenyewe mnakuwa icon mbaya kwa watoto wenu!!!
<br />
<br />
Ni kweli tatizo la ulevi lipo tangu siku nyingi,nikuulize swali hiyo zamani unayoizungumzia ni ipi?Je unajua wanawake walianza kufanya kazi?Apart from that unapomuona baba ana tabia hizo sababu kubwa ni malezi na wakati mwingine vurugu za mke anaamua kutumia pombe kama tulizo,lakini hata huyo mwanamke mwenye vurugu nae ana matatizo yaleyale ya kimalezi,tunarudi kulekule!
 
Back
Top Bottom