cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,613
- 137,357
hapo ukikauliza jina lake kanakwambia my name is SE ME NO MORE
hapo ukikauliza jina lake kanakwambia my name is SE ME NO MORE
Nadhani hii picha imechukuliwa kutoka movie ya Idris Elba "Beast of no nation".Mk
Mkuu huyu ndo nani nipe hata Abc zake nimegoogle Hilo jina ila sjapata chochote.
Alichovaa ndiyo vazi la fieldKama sio picha ya kwenye sinema basi mie namtafakari huyo mtoto na wanaomtuma, just imagine wanampa mtu silaha ya malaki kama sio milioni ila wanashindwa kumpa nguo za kumsitiri? Mtoto nae karidhika kumilikishwa silaha kaona amepata zaidi ya hitaji lake. Mungu atunusuru.