Wa Nyumbani
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 438
- 67
Kijana alimpeleka mchumba wake nyumbani ili wazazi wake wakamwone. Alipofika naye tu, baba yake akagundua dosari, maana binti alikuwa mweusi sana, ana matege ya ndani na makengeza makali. Msichana ili kumvutia baba mkwe akaona atabasamu kidogo. Lahaula! alikuwa na mapengo meno yote ya mbele! Baba akaamua kumpeleka kijana wake nje wakaongee.
Baba: Kijana hebu twende nje kidogo
Kijana: sema tu hapa hapa, mchumba wangu ni kiziwi!
Baba akaduwaaa!!!
Baba: Kijana hebu twende nje kidogo
Kijana: sema tu hapa hapa, mchumba wangu ni kiziwi!
Baba akaduwaaa!!!