Huyu ndiye lowassa.....!!!!!

Huyu ndiye lowassa.....!!!!!

Status
Not open for further replies.
JF kuna utata ila kama kuna mwanaCCM mwenye wafuasi humu JF ni Lowasa, na nimefikia conclusion hii baada ya kupitia nyuzi kadhaa zinazomhusu huyu bwana na kuona michango iliyo mingi. Na wanaompiga nao japo si wengi ila wanahoja.
 
Lowasa ndiye rais 2015 mtakaonuna na mnune mtakaolia na mlie habari ndo hiyoooo

............fate ya mtu iko kwa Allah SWT ! wewe unapanga lakini Yeye ndie bingwa wa mipango, mjuzi wa dhahiri na lilojificha, mwendeshaji wa mambo !
 
Naamini hawaja mkaribisha kwenye harambee zao, kwan EL haombi yeye kwenda kwenye hizi harambee za makanisa bali hualikwa,na tumeona habagui dhehebu ingawa yeye ni Mlutheri, hebu wamualike afu tupate pa kuanzia mjadala!!
Mbona alialikwa kwenye maulidi..
 
Mnao jenga misikitini haishi huu ndo wakati wa kumtumia mzee wetu EL mle hizo 10m ila nasikia kwa mwaka huu ratiba yake imejaa mpaka mwakani
 
Kuhusu mambo ya Mungu sipendi kuingilia sana lakini Lowassa amechoka sana kwa sasa, wanaoweza kumwona kwa macho yao na kukaa naye kwa muda wataelewa nasema kitu gani, kama Mungu anaweza kumrudishia ujana wake lingekuwa jambo la Neema sana kwake maana najua angependa sana aende Magogoni. Nina imani kikubwa anachoangalia kwa sasa ni hao watakaoshika nchi wachunge masilahi yake aliyowekeza kila kona ya nchi hii, watoto, wajukuu zake waweze kufaidi siku yake itakapofika ambayo siijui... anaweza kujaliwa kuishi hadi miaka zaidi ya 100 na tukaenda kumtembelea hata haoni tena.
 
kwani bwana EL ametangaza wapi kwamba katoa kiasi gani kwenye harambee hizo?!??

Mkuu, mm nilikuwa nasaidia kutoa jibu la swali ulilomuuliza zomba, lakini kama alivyosema aritoine kuwa kwny mambo ya siasa inakuwa tofauti na usemi wa zomba.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, mm nilikuwa nasaidia kutoa jibu la swali ulilomuuliza zomba, lakini kama alivyosema aritoine kuwa kwny mambo ya siasa inakuwa tofauti na usemi wa zomba.

Kumbe katiwa rushwa ya kisiasa? mimi nilifikiri sadaka, kama ni hivyo upo sahihi kabisa.
 
IMG_2923.jpg
Hicho kifurushi kina nini ndani?
Siamini kama ni fwedha.
Mtu mwadilifu na mlipa kodi anatoaga cheki, ili source ijulikane kuwa si haramu.
 
Ukisikia KUTOWA HONGO HADHARANI kama zile za Mkapa huko Igunga basi ndiyo hizi.

YAANI baba mchungaji anapokea pesa kweupeeee bila aibu na ana kenua domo kupokea kitita cha fedha.

Hizi pesa, hakuna ajuaye ni kiasi gani na unaweza kukuta nusu katia mfukoni ili AMSAFISHE mtu.

Hizi DINI inabidi ZIPIGWE marufuku zoteeeee......... Kama ni motoni na twende tu maana Wachungaji ukiacha kula WANAKONDOO hasa wa KIKE (WAJANE) basi wanaanza kula hadi HONGO. Too bad.

SHAME ON YOU WALA RUSHWA WOTE na hasa WACHUNGAJI wa dini zote (Waislaam pia).
 
Anarudisha fungu la kumi au anarudisha zile alizojichotea?
 
hukohuko kwa mapadri na maaskofu ma wachungaji njaa wananajisi nyumba za ibada kwa tamaa ya fedha.msikitini asifike huyu..tutamsomea al baddil
 
Naamini hawaja mkaribisha kwenye harambee zao, kwan EL haombi yeye kwenda kwenye hizi harambee za makanisa bali hualikwa,na tumeona habagui dhehebu ingawa yeye ni Mlutheri, hebu wamualike afu tupate pa kuanzia mjadala!!

aiseee babaangu nashukuru kwa kunielewesha kumbe anaalikwa,,,mi nilidhani anakwenda mwenyewe!!!
 
Da EL bado yupo mzima wa afya!!! Nasubiri tu ufadhili wa kambi yake 2015. Mkuu EL angalia usitoe zote ili zibaki za 2015 kina Bashe watahitaji sana!!! Bila kumsahau Benno.
 
nadhani maana yake ukiwa unatoa msaada usipende kujitangaza, unapomsaidia mtu basi toa huo msaada kimya kimya.

sasa atajitangazaje kwa ajili ya uchaguzi wa 2015 bila kuonekana?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom