- Thread starter
- #41
Heri (baraka) iko kwa anayetoa na si kwa anayepokea. Hujayasoma haya katika kitabu cha Matendo ya Mitume?
bado..
Heri (baraka) iko kwa anayetoa na si kwa anayepokea. Hujayasoma haya katika kitabu cha Matendo ya Mitume?
Ukitowa mkono wa kulia wa kushoto usijuwe!
Na wewe umejihakikishia kwamba utaendelea kuishi milele na milele!!! Assumptions zingine bwana!!Kuhusu mambo ya Mungu sipendi kuingilia sana lakini Lowassa amechoka sana kwa sasa, wanaoweza kumwona kwa macho yao na kukaa naye kwa muda wataelewa nasema kitu gani, kama Mungu anaweza kumrudishia ujana wake lingekuwa jambo la Neema sana kwake maana najua angependa sana aende Magogoni. Nina imani kikubwa anachoangalia kwa sasa ni hao watakaoshika nchi wachunge masilahi yake aliyowekeza kila kona ya nchi hii, watoto, wajukuu zake waweze kufaidi siku yake itakapofika ambayo siijui... anaweza kujaliwa kuishi hadi miaka zaidi ya 100 na tukaenda kumtembelea hata haoni tena.
Mungu mbariki mwanakondoo wako Lowassa ili awe rais wa Tanzania 2015 halafu awakomboe Watanzania.