Huyu ndiye lowassa.....!!!!!

Status
Not open for further replies.
Ukitowa mkono wa kulia wa kushoto usijuwe!

Unanikumbusha jamaa mmoja aliyepata matatizo ya kifedha yaliyohusisha watoto wake wachanga watatu pia..jamaa alinambia alikwenda kumuona lowassa akaambulia kupewa siasa za 'kijana siwezi kukusaidia sababu nina watu wengi sana wanaonitegemea'..maskini kijana wa watualisahau kuwa njia ya kupata pesa za hawa watu ni kwenda na waandishi wa habari!
 
Kuhusu mambo ya Mungu sipendi kuingilia sana lakini Lowassa amechoka sana kwa sasa, wanaoweza kumwona kwa macho yao na kukaa naye kwa muda wataelewa nasema kitu gani, kama Mungu anaweza kumrudishia ujana wake lingekuwa jambo la Neema sana kwake maana najua angependa sana aende Magogoni. Nina imani kikubwa anachoangalia kwa sasa ni hao watakaoshika nchi wachunge masilahi yake aliyowekeza kila kona ya nchi hii, watoto, wajukuu zake waweze kufaidi siku yake itakapofika ambayo siijui... anaweza kujaliwa kuishi hadi miaka zaidi ya 100 na tukaenda kumtembelea hata haoni tena.
Na wewe umejihakikishia kwamba utaendelea kuishi milele na milele!!! Assumptions zingine bwana!!
 
IMG_2923.jpg

Hivi TAKUKURU awaangaliagi source ya viwango vya michango inayotolewa makanisani na misikitini? Mbinguni wataingia wachache sana! Huyo baba askofu alitakiwa kuuliza kama ni pesa safi au chafu, na kama jibu ni chafu alitakiwa kui-reject.

Halafu hawa viongozi wa dini wanayaishi maandiko matakatifu kweli? Au kwanza wanayaelewa vizuri?!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom