Kuchangia shughuli za maendeleo na kidini ukiwa na uwezo ni jambo jema
Ukitowa mkono wa kulia wa kushoto usijuwe!
Maneno yako na hiyo picha vina uhusiano upi??
Aiseee babaangu mbona waislamu hawapi msaada???
Maneno yako na hiyo picha vina uhusiano upi??
Lowasa ndiye rais 2015 mtakaonuna na mnune mtakaolia na mlie habari ndo hiyoooo
nadhani maana yake ukiwa unatoa msaada usipende kujitangaza, unapomsaidia mtu basi toa huo msaada kimya kimya.
nadhani maana yake ukiwa unatoa msaada usipende kujitangaza, unapomsaidia mtu basi toa huo msaada kimya kimya.