Huyu ndiye kipenzi cha mama

Huyu ndiye kipenzi cha mama

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
330
Reaction score
1,244
1000096399.jpg
Familia nyingi sana hususani za Kiafrika,kuna mtoto mmoja wa kike au wa kiume,ila haswa wa kiume,anakuwaga tofauti sana na wenzake,kisirani cha familia.Hapatani na wote mdokozi,mlevi,anauza vitu vya home,bangi mtu,kila mkimbeba habebeki.Black sheep of the family...!

👉Ila cha kushangaza sasa,ndio kipenzi cha mama mwenye family🙌🙌 yaani mama yuko tayari agombane na nyie wote sio huyu Nyau🙌🙌....! Kama mnaye mtu wa aina hii kwa familia zenu inua mikono juu🙌🙌🙌🙌...!

#Tutaelewanatu
 
Wazazi hasa mama hufanya hivyo kwa sababu zifuatazo:-
1. Mtoto asiyejielewa hana usaidizi na utetezi zaidi ya mama yake
2. Mama huumia sana anapoona uzao wake ukiwa katika hali dhaifu hivyo hujaribu kumpa moyo kwa upendo.

3. Mzazi huhangaika na wasiojiweza na siyo wanaojiweza.

NB: Uchungu wa mwana aujuaye mzazi ( mama)
 
View attachment 3386595Familia nyingi sana hususani za Kiafrika,kuna mtoto mmoja wa kike au wa kiume,ila haswa wa kiume,anakuwaga tofauti sana na wenzake,kisirani cha familia.Hapatani na wote mdokozi,mlevi,anauza vitu vya home,bangi mtu,kila mkimbeba habebeki.Black sheep of the family...!

👉Ila cha kushangaza sasa,ndio kipenzi cha mama mwenye family🙌🙌 yaani mama yuko tayari agombane na nyie wote sio huyu Nyau🙌🙌....! Kama mnaye mtu wa aina hii kwa familia zenu inua mikono juu🙌🙌🙌🙌...!

#Tutaelewanatu
unamaanisha mazezeta ya kusifia kila kitu ndio yanapendwa na Sa100?
 
Kila ntu atajifanya hapa kuwa sio yeye lakini mimi niseme kwetu nahisi ndiyo mimi japo kwa hizo tabia sina ila kuna harakati ninazo zinazonifanya nisifanane na ndugu yangu

Keep resting dear parents
 
Kuna mmoja ni sh++ga humu anaitwa Lucha
Haaa balaa!

Kumbe ndiyo maana mara nyingi hutetea na kulalama humu kwamba Pope Francis aliruhusu ndoa za jinsia moja lakini Tanzania kufungisha hawataki?inaonekana alishapata bwana ila anataka na harusi isoyokaa itokee.
 
Back
Top Bottom