View attachment 3386595Familia nyingi sana hususani za Kiafrika,kuna mtoto mmoja wa kike au wa kiume,ila haswa wa kiume,anakuwaga tofauti sana na wenzake,kisirani cha familia.Hapatani na wote mdokozi,mlevi,anauza vitu vya home,bangi mtu,kila mkimbeba habebeki.Black sheep of the family...!
👉Ila cha kushangaza sasa,ndio kipenzi cha mama mwenye family🙌🙌 yaani mama yuko tayari agombane na nyie wote sio huyu Nyau🙌🙌....! Kama mnaye mtu wa aina hii kwa familia zenu inua mikono juu🙌🙌🙌🙌...!
#Tutaelewanatu