mtoa post acha njaa kafanye kazi ya halali hakuna mtanzania asiyejua viongozi hawawathamini wazalendo kwa kuwa hawatoi 10% pia wivu wa maendeleo, basi nakushauri kafanye kazi na usitumike kama condom maana baada ya matumizi condom ni uchafu mbaya sana hata kuishika lazima uvae gloves basi ndugu yangu think more usitumike simamia yako.