Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,405
- 1,086
Prof Maurice Bucaille ambaye umemtaja hapo aliuona ukuu wa Mungu na akathibitisha ule ni mwili wa Firauni aliyetajwa katika vitabu vitakatifu. Prof. huyo baadaye alisilimu na kuwa Muislamu safi.