Huyu ndiye Edward Lowassa

Huyu ndiye Edward Lowassa

Kuhusu kuhujumu uchumi, aliyeuhujumu ni yule ambaye hakumchukulia hatua Lowasa wakati akihujumu uchumi, kwa nini akaachwa mpaka sasa kama kweli kafanya makosa ?
 
Kwanini Hakufungwa kama akina Mramba na Yona? ESCROW ni ya LOWASSA? EPA? RICHMOND?
1. Mtumiaji vibaya madaraka ya Umma:
Ametumia vibaya madaraka yake kwa nyakati tofauti kuhujumu uchumi wa nchi. Mikataba ya Richmond, akiwa mkurugenzi wa kituo cha kimataifa cha mikutano , Arusha(AICC) , akiwa Waziri wa Maji na Mifugo alitumia vibaya madaraka yake vibaya na na kujimbikizia mali na kuliingiza taifa katika hasara kubwa;
2. Ni mwenye Dharau, kiburi na majivuno kutokana na ama silka yake au utajiri wake na hivyo kutaka KUNYENYEKEWA MUDA WOTE
Baadhi ya haya Maneno yake ni ushuhuda wa sifa hizo:
" Hakuna wa kunikata, asiyenipenda ndiye ahame CCM"
" Sina rafiki CCM, NMELOCK AKITAKA ANIFUATE"
NI mtu wa kununua watu, ni hatari sana kwani ukinunuliwa huwezi kuhoji lolote atakaloamua:
Hawa ni baadhi ya aliowanunua. Wamenunuliwa kwa sababu historia ya walioyasema juu yake kama hajahamia CHADEMA inawahukumu
Freema Aikael Mbowe
James Mbatia
Juma Duni Haji
Fredrick Tluwaye Sumaye
Tundu Lissu
Peter Msigwa
John Mnyika
Godbless Lema
4. Ni mtu aliyeshindwa siku zote:
Ameshindwa kupata nafasi ya kugombea urais kupitia CCM, 1995 na 2015. Kingunge anasema mwaka 2015 ameonewa kwa vile Baba wa taifa hakuwepo, lakini kwa vile 1995, Baba wa Taifa ndiye aliongoza kumkataa, hakuonewa
Mwaka 2008 alishindwa kuongoza ofisi wa Waziri ya Waziri Mkuu na kupelekea kujiuzulu
Katika ujanja ujanja wake wa kutaka kwenda ikulu ameshindwa kuwanunua wafuatao:
Joseph Msukuma
Hussein Bashe
Wilbrod Slaa
Prof. Ibrahim Harouna Lipumba
Namelock Sokoine
Peter Serukamba
Sofia Simba
Emmanuel Nchimbi


25/10/2015 pia atashindwa


Ni Mtu mzurumaji na mbinafsi
Amezurumu mradi wa maji wa Arumeru Mashariki- rejea hotuba ya Dr. Slaa kule arumeru
Amezurumu Ranchi za mifugo kule monduli na kuzifanya kuwa mali za familia yake- rejea maneno ya aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Monduli jana wakati anarejea CCM kwenye kampeni zilizofanyika Jijini arusha jana.
Alishinikiza kupewa tsh. Mil. 170 kama mfuko wa jimbo badala ya mil.40


Kati ya Watanzania zaidi ya mil. 45 nitakuwa wa mwisho kutekwa kifikra na kumwamini LOWASSA.
 
Nilishaamua kumpa kura yangu edo hii story ungeileta hapa mwezi wa nane
 
Join Date: 18th February 2014
Posts: 648
Rep Power: 515

Likes Received: 198
Likes Given: 1

Kwa wasifu huu ni dhahiri bin shayiri kwamba weye bado ni kichanga sana!! ID bomu; Thread bomu na Fikira Bomu; LoL!!!
Any way; this is too little too late!! After all you are a NON-ENTITY katika VUGUVUGU la MABADILIKO; kwa hiyo maoni yako hayana athira yoyote na hakuna kitakachobadilika.

Ni thread ya Kukaririshwa; Ankooo; wewe na Magufuli mlifundishwa na mwalimu mmoja nini!!




1. Mtumiaji vibaya madaraka ya Umma:
Ametumia vibaya madaraka yake kwa nyakati tofauti kuhujumu uchumi wa nchi. Mikataba ya Richmond, akiwa mkurugenzi wa kituo cha kimataifa cha mikutano , Arusha(AICC) , akiwa Waziri wa Maji na Mifugo alitumia vibaya madaraka yake vibaya na na kujimbikizia mali na kuliingiza taifa katika hasara kubwa;
2. Ni mwenye Dharau, kiburi na majivuno kutokana na ama silka yake au utajiri wake na hivyo kutaka KUNYENYEKEWA MUDA WOTE
Baadhi ya haya Maneno yake ni ushuhuda wa sifa hizo:
" Hakuna wa kunikata, asiyenipenda ndiye ahame CCM"
" Sina rafiki CCM, NMELOCK AKITAKA ANIFUATE"
NI mtu wa kununua watu, ni hatari sana kwani ukinunuliwa huwezi kuhoji lolote atakaloamua:
Hawa ni baadhi ya aliowanunua. Wamenunuliwa kwa sababu historia ya walioyasema juu yake kama hajahamia CHADEMA inawahukumu
Freema Aikael Mbowe
James Mbatia
Juma Duni Haji
Fredrick Tluwaye Sumaye
Tundu Lissu
Peter Msigwa
John Mnyika
Godbless Lema
4. Ni mtu aliyeshindwa siku zote:
Ameshindwa kupata nafasi ya kugombea urais kupitia CCM, 1995 na 2015. Kingunge anasema mwaka 2015 ameonewa kwa vile Baba wa taifa hakuwepo, lakini kwa vile 1995, Baba wa Taifa ndiye aliongoza kumkataa, hakuonewa
Mwaka 2008 alishindwa kuongoza ofisi wa Waziri ya Waziri Mkuu na kupelekea kujiuzulu
Katika ujanja ujanja wake wa kutaka kwenda ikulu ameshindwa kuwanunua wafuatao:
Joseph Msukuma
Hussein Bashe
Wilbrod Slaa
Prof. Ibrahim Harouna Lipumba
Namelock Sokoine
Peter Serukamba
Sofia Simba
Emmanuel Nchimbi


25/10/2015 pia atashindwa


Ni Mtu mzurumaji na mbinafsi
Amezurumu mradi wa maji wa Arumeru Mashariki- rejea hotuba ya Dr. Slaa kule arumeru
Amezurumu Ranchi za mifugo kule monduli na kuzifanya kuwa mali za familia yake- rejea maneno ya aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Monduli jana wakati anarejea CCM kwenye kampeni zilizofanyika Jijini arusha jana.
Alishinikiza kupewa tsh. Mil. 170 kama mfuko wa jimbo badala ya mil.40


Kati ya Watanzania zaidi ya mil. 45 nitakuwa wa mwisho kutekwa kifikra na kumwamini LOWASSA.
 
Hâta mimi nasema hivii mmechelewa kumchufua lowqssa ccm haishindi tena mkome kua mnalusha ujumbe mfu .huu mwaka nimabadiko SFIO kututo ccm ng'oooo
 
1. Mtumiaji vibaya madaraka ya Umma:
Ametumia vibaya madaraka yake kwa nyakati tofauti kuhujumu uchumi wa nchi. Mikataba ya Richmond, akiwa mkurugenzi wa kituo cha kimataifa cha mikutano , Arusha(AICC) , akiwa Waziri wa Maji na Mifugo alitumia vibaya madaraka yake vibaya na na kujimbikizia mali na kuliingiza taifa katika hasara kubwa;
2. Ni mwenye Dharau, kiburi na majivuno kutokana na ama silka yake au utajiri wake na hivyo kutaka KUNYENYEKEWA MUDA WOTE
Baadhi ya haya Maneno yake ni ushuhuda wa sifa hizo:
" Hakuna wa kunikata, asiyenipenda ndiye ahame CCM"
" Sina rafiki CCM, NMELOCK AKITAKA ANIFUATE"
NI mtu wa kununua watu, ni hatari sana kwani ukinunuliwa huwezi kuhoji lolote atakaloamua:
Hawa ni baadhi ya aliowanunua. Wamenunuliwa kwa sababu historia ya walioyasema juu yake kama hajahamia CHADEMA inawahukumu
Freema Aikael Mbowe
James Mbatia
Juma Duni Haji
Fredrick Tluwaye Sumaye
Tundu Lissu
Peter Msigwa
John Mnyika
Godbless Lema
4. Ni mtu aliyeshindwa siku zote:
Ameshindwa kupata nafasi ya kugombea urais kupitia CCM, 1995 na 2015. Kingunge anasema mwaka 2015 ameonewa kwa vile Baba wa taifa hakuwepo, lakini kwa vile 1995, Baba wa Taifa ndiye aliongoza kumkataa, hakuonewa
Mwaka 2008 alishindwa kuongoza ofisi wa Waziri ya Waziri Mkuu na kupelekea kujiuzulu
Katika ujanja ujanja wake wa kutaka kwenda ikulu ameshindwa kuwanunua wafuatao:
Joseph Msukuma
Hussein Bashe
Wilbrod Slaa
Prof. Ibrahim Harouna Lipumba
Namelock Sokoine
Peter Serukamba
Sofia Simba
Emmanuel Nchimbi


25/10/2015 pia atashindwa


Ni Mtu mzurumaji na mbinafsi
Amezurumu mradi wa maji wa Arumeru Mashariki- rejea hotuba ya Dr. Slaa kule arumeru
Amezurumu Ranchi za mifugo kule monduli na kuzifanya kuwa mali za familia yake- rejea maneno ya aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Monduli jana wakati anarejea CCM kwenye kampeni zilizofanyika Jijini arusha jana.
Alishinikiza kupewa tsh. Mil. 170 kama mfuko wa jimbo badala ya mil.40


Kati ya Watanzania zaidi ya mil. 45 nitakuwa wa mwisho kutekwa kifikra na kumwamini LOWASSA.
Ni povu tu hakuna kingine Mwamini Nape na Bulembo HAO NDIO SAIZI YAKO.
 
1. Mtumiaji vibaya madaraka ya Umma:
Ametumia vibaya madaraka yake kwa nyakati tofauti kuhujumu uchumi wa nchi. Mikataba ya Richmond, akiwa mkurugenzi wa kituo cha kimataifa cha mikutano , Arusha(AICC) , akiwa Waziri wa Maji na Mifugo alitumia vibaya madaraka yake vibaya na na kujimbikizia mali na kuliingiza taifa katika hasara kubwa;
2. Ni mwenye Dharau, kiburi na majivuno kutokana na ama silka yake au utajiri wake na hivyo kutaka KUNYENYEKEWA MUDA WOTE
Baadhi ya haya Maneno yake ni ushuhuda wa sifa hizo:
" Hakuna wa kunikata, asiyenipenda ndiye ahame CCM"
" Sina rafiki CCM, NMELOCK AKITAKA ANIFUATE"
NI mtu wa kununua watu, ni hatari sana kwani ukinunuliwa huwezi kuhoji lolote atakaloamua:
Hawa ni baadhi ya aliowanunua. Wamenunuliwa kwa sababu historia ya walioyasema juu yake kama hajahamia CHADEMA inawahukumu
Freema Aikael Mbowe
James Mbatia
Juma Duni Haji
Fredrick Tluwaye Sumaye
Tundu Lissu
Peter Msigwa
John Mnyika
Godbless Lema
4. Ni mtu aliyeshindwa siku zote:
Ameshindwa kupata nafasi ya kugombea urais kupitia CCM, 1995 na 2015. Kingunge anasema mwaka 2015 ameonewa kwa vile Baba wa taifa hakuwepo, lakini kwa vile 1995, Baba wa Taifa ndiye aliongoza kumkataa, hakuonewa
Mwaka 2008 alishindwa kuongoza ofisi wa Waziri ya Waziri Mkuu na kupelekea kujiuzulu
Katika ujanja ujanja wake wa kutaka kwenda ikulu ameshindwa kuwanunua wafuatao:
Joseph Msukuma
Hussein Bashe
Wilbrod Slaa
Prof. Ibrahim Harouna Lipumba
Namelock Sokoine
Peter Serukamba
Sofia Simba
Emmanuel Nchimbi


25/10/2015 pia atashindwa


Ni Mtu mzurumaji na mbinafsi
Amezurumu mradi wa maji wa Arumeru Mashariki- rejea hotuba ya Dr. Slaa kule arumeru
Amezurumu Ranchi za mifugo kule monduli na kuzifanya kuwa mali za familia yake- rejea maneno ya aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Monduli jana wakati anarejea CCM kwenye kampeni zilizofanyika Jijini arusha jana.
Alishinikiza kupewa tsh. Mil. 170 kama mfuko wa jimbo badala ya mil.40


Kati ya Watanzania zaidi ya mil. 45 nitakuwa wa mwisho kutekwa kifikra na kumwamini LOWASSA.

Uliyoandika ni hisia zako na ni imani yako dhidi ya propaganda za kisiasa make ukiambiwa ulete ushaidi huna kwa sababu chanzo chako cha habari za propaganda ni maneno ya uzushi ya watu wenu wanayoyatoa majukwaani.
ninachoweza kuchangia ni kwamba umezidi kuianika ccm kuwa ni chama kinachokumbatia maovu tangu kianze kutawala. tena mambo mengi uliyoandika ni ya kusadikika eti alitia nchi hasara, ina maana kwako watu kugawana pesa za escrow kwa lumbesa siyo hasara? heri ya huyo ambae ni hisia tu ndiyo imekutawala kuwa alitia nchi hasara kuliko waliogawana pesa juzijuzi tu tena tukiona kwa macho.
 
Umesahau. Alinunua wenyeviti wote wa CCM wa wilaya na mikoa. YUle mwana Msukuma (Kasheku) wa Geita amenyang'anywa ile helkopta aliyonunuliwa na Lowassa baada ya kugoma kumfuata. Alinunua na baadhi ya wabunge pia wakiwemo akina Lugora. Alinunua wajumbe wengi wa NEC na kamati kuu ya CCM ndo maana kamati ya maadili wakaamua kumtaka mapema maana walijua fika kuwa akiingia tano bora atapita tu kwa nguvu yake ya pesa.
 
Kama kweli lowasa amefanya yote haya akiwa ndani ya ccm basi wenye akili hawana haja ya kuiami ccm.kama ccm ilishindwa kumdhibiti mtu mmoja kwa miaka yote hiyo na hawakumsema kwa wananchi mpaka ameondoka mwenyewe ndo ccm wanaanza kuweweseka,sasa wataweza kudhibiti tatizo la rushwa,ukosefu wa maji na huduma mbalimbali za jamii,tatizo la ajira na matatizo mengine mengi.kama jitu moja liliwashinda kulidhibiti tutawaminije kwa mengine

Hili jibu alione mtoa mada
 
Umesahau. Alinunua wenyeviti wote wa CCM wa wilaya na mikoa. YUle mwana Msukuma (Kasheku) wa Geita amenyang'anywa ile helkopta aliyonunuliwa na Lowassa baada ya kugoma kumfuata. Alinunua na baadhi ya wabunge pia wakiwemo akina Lugora. Alinunua wajumbe wengi wa NEC na kamati kuu ya CCM ndo maana kamati ya maadili wakaamua kumtaka mapema maana walijua fika kuwa akiingia tano bora atapita tu kwa nguvu yake ya pesa.
 
1. Mtumiaji vibaya madaraka ya Umma:
Ametumia vibaya madaraka yake kwa nyakati tofauti kuhujumu uchumi wa nchi. Mikataba ya Richmond, akiwa mkurugenzi wa kituo cha kimataifa cha mikutano , Arusha(AICC) , akiwa Waziri wa Maji na Mifugo alitumia vibaya madaraka yake vibaya na na kujimbikizia mali na kuliingiza taifa katika hasara kubwa;
2. Ni mwenye Dharau, kiburi na majivuno kutokana na ama silka yake au utajiri wake na hivyo kutaka KUNYENYEKEWA MUDA WOTE
Baadhi ya haya Maneno yake ni ushuhuda wa sifa hizo:
" Hakuna wa kunikata, asiyenipenda ndiye ahame CCM"
" Sina rafiki CCM, NMELOCK AKITAKA ANIFUATE"
NI mtu wa kununua watu, ni hatari sana kwani ukinunuliwa huwezi kuhoji lolote atakaloamua:
Hawa ni baadhi ya aliowanunua. Wamenunuliwa kwa sababu historia ya walioyasema juu yake kama hajahamia CHADEMA inawahukumu
Freema Aikael Mbowe
James Mbatia
Juma Duni Haji
Fredrick Tluwaye Sumaye
Tundu Lissu
Peter Msigwa
John Mnyika
Godbless Lema
4. Ni mtu aliyeshindwa siku zote:
Ameshindwa kupata nafasi ya kugombea urais kupitia CCM, 1995 na 2015. Kingunge anasema mwaka 2015 ameonewa kwa vile Baba wa taifa hakuwepo, lakini kwa vile 1995, Baba wa Taifa ndiye aliongoza kumkataa, hakuonewa
Mwaka 2008 alishindwa kuongoza ofisi wa Waziri ya Waziri Mkuu na kupelekea kujiuzulu
Katika ujanja ujanja wake wa kutaka kwenda ikulu ameshindwa kuwanunua wafuatao:
Joseph Msukuma
Hussein Bashe
Wilbrod Slaa
Prof. Ibrahim Harouna Lipumba
Namelock Sokoine
Peter Serukamba
Sofia Simba
Emmanuel Nchimbi


25/10/2015 pia atashindwa


Ni Mtu mzurumaji na mbinafsi
Amezurumu mradi wa maji wa Arumeru Mashariki- rejea hotuba ya Dr. Slaa kule arumeru
Amezurumu Ranchi za mifugo kule monduli na kuzifanya kuwa mali za familia yake- rejea maneno ya aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Monduli jana wakati anarejea CCM kwenye kampeni zilizofanyika Jijini arusha jana.
Alishinikiza kupewa tsh. Mil. 170 kama mfuko wa jimbo badala ya mil.40


Kati ya Watanzania zaidi ya mil. 45 nitakuwa wa mwisho kutekwa kifikra na kumwamini LOWASSA.

Ivi ni nani hajadhurumu taifa hili?
 
Mtoa mada dont ever again mention mr president lowassa.
 
Watu wengine wajinga sana..unashindwa kuzungumzia nchi kuwa gizani,walimu kutolipwa stahiki zao,maji hakuna unamzungumzia alikuwa nje ya serikalu kwa miaka 8..asee unatia hasira wewe sana
 
Back
Top Bottom