Huyu ndio rais tunayemtaka baada ya JK,akisaidiana na waziri mkuu Dr. J.P.Maghufuli na makamu wake Dr, W.B.Slaa...hii ni kutokana na hali ya nch yetu ilivyo....neemaaa Tanzaniaaa naiona ikakuja kwa kassiiiiiiiiiii kwa hawa waheshimiwa.
alikuwa anafaaa!!!!!Lowasa na Rostam wakamchakachua!!!umri umekwenda apumzike amalizie maisha yake!!!asije akafia madarakani!!!!
you must be crazy. una maana Dr W.p Slaa avae gamba au hao waje CDM? Usituletee mambo ya zenjibar huku Tanganyika. never repeat your nonsense.Huyu ndio rais tunayemtaka baada ya JK,akisaidiana na waziri mkuu Dr. J.P.Maghufuli na makamu wake Dr, W.B.Slaa...hii ni kutokana na hali ya nch yetu ilivyo....neemaaa Tanzaniaaa naiona ikakuja kwa kassiiiiiiiiiii kwa hawa waheshimiwa.
He is not strong enough to deal with Tanzanians,,,
It is time now we get a strong man like KAGAME...
you must be crazy. una maana Dr W.p Slaa avae gamba au hao waje CDM? Usituletee mambo ya zenjibar huku Tanganyika. never repeat your nonsense.
Huu si wakati mwafaka kujadili urais, tuna matatizo kibao kujadili ufumbuzi wake,mgao wa ngereja,katibu,dowans,rada,posho za mjengoni,shule bila walimu,hospitali za kupima kwa macho,mikopo ya wanavyuo,n.k bado miaka 3 na zaidi the ndo urais uwe hot issue
Rais mnayemtaka wewe na nani? labda ungesema Rais unayemtaka ningekuelewa.Huyu ndio rais tunayemtaka baada ya JK,akisaidiana na waziri mkuu Dr. J.P.Maghufuli na makamu wake Dr, W.B.Slaa...hii ni kutokana na hali ya nch yetu ilivyo....neemaaa Tanzaniaaa naiona ikakuja kwa kassiiiiiiiiiii kwa hawa waheshimiwa.
Mimi ma rafiki zangu na watanzania wengi walio masikini kasoro wewe mrundi usiyena umuhimu wa wachapa kazi kama niliowataka na kutaka wapenda vyeo bila utendaji na dhamira ya dhati kuokoa maisha ya watu na maendeleo ya taifa letuRais mnayemtaka wewe na nani? labda ungesema Rais unayemtaka ningekuelewa.
Well, Dr. Salim Salim the greatest Diplomat we ever had on our land, lakini could not deal na our local politics. Mwalimu overprotected him leading Mwalimus political enemies to become his bitter foes especially Mtandao who exposed his polical weakness as never before na since he was always overprotected he could not answer the attacks and too bad the protector was long gone. To me Salim is the greatest Diplomat that never learned the art of local politics, even though he had everything in his disposal to deal with his political problems before the protecter was gone. In the process of creating him politically, the protector also killed his local politics chances because of the reasons why he was being overprotected! Protecters political enemies knew it and too bad some of them are still a live making Salim chances to ever lead this Nation impossible. - Le Baharia