Akiwa raisi tuu, basi ujue PLO na Hamas watahamishia makao makuu yao hapa Bongo! Kama Dunia ilimkataa kuwa katibu mkuu wa UNO, basi tusithubutu kumkubali sisi hapa nchini!!!! Hawapendi wayahudi, Na mtu yeyote ambaye hawapendi wayahudi kalaaniwa na mungu. Hivyo hata kama akiwa raisi , nchi italaaniwa vibaya sana sana na huenda hata ikaingia vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Tupende tusipende yeye ni mwarabu na alijionesha uarabu wake pale alipomleta arafat Tanznaia na kuwa buruza wananchi kumpigia mwarabu gwaride uwanja wa Taifa. Halafu alikuwa anapelka palestinia day mikoa ambayo ina waktristo wengi, ili wawatukane wayahudi hadhalani kinyume cha maandiko ya biblia. Niko tayari kumpigia marehemu kura yangu, kuliko kumpatia huyu huyu kura yangu.
Tanzania ni moja ya nchi ambazo zinaitwa anti-semites duniani kwa sababu yake huyu huyu. Anti semite ni kundi la wachukia wayahudi duniani.