Huyu ndio mpenzi nilie nae

Huyu ndio mpenzi nilie nae

kwa kawaida miaka mitatu ni mingi sana kwa hiyo mmishazoeana kbs, so, usidhani yale aliyokuwa akikufanyia mwanzoni atayaendeleza kwa sasa.
 
Kuwa mkweli tu kuwa umemchoka si kuleta visingizio hapa, vidogo vidogo sema umepata mwingine aliyekuonyesha vitu tofauti na huyo sasa unatafuta sababu za kumuacha isingewezekana ukawa kwenye uhusiano wa namna hiyo kwa miaka mitatu na ni wapenzi tu hata uchumba hamjaanza, kama umeamua kuanza upya anza tu ila kumbuka hakuna aliyekamilika kila mtu na udhaifu wake kama unaweza kumfundisha fanya hivyo kwani umekiri mwenyewe kuwa unampenda
 
Miaka mitatu ni mingi,mmeshazoeana labda anajisahau mkumbushe kwa kumwambia baby mbona hufanyi hiki na hiki kama mwanzoni,akireact vibaya jua hakupendi,chapa lapa...kama anakupenda atakuambia umpe muda ajirekebishe....dont let it go.....
 
Be part of his transformation!! If you luv him You will never leave him no matter what!!!
When you wanna open another door then you are lost if you had best chances to revamp your friendship!!!!
AGAIN, BE PART OF HIS CHANGE, DON'T RUN AWAY FROM HIM!!
If You think there are probably other guys perfect for you, then You are LOST!!!"
3 years ni miaka mingi sana, ROUGH ROADS ARE SMOOTH ROADS FEW KILOMETRES AHEAD!!
Think in your mind not your HEART!!!!
 
Kulicare jitu ambalo halikucare ni sawa kufanya kazi ya kumtawaza bata.TUPA KULE UMSIMREMBE.
 
Miaka mitatu si muda mfupi ktk mapenzi, kwa muda huo mtakuwa mmeshazoeana sana, mtoe out muee wawili tu umweleze uliyonayo moyoni kisha umsikilize atasema nini, unless umeshapata mwingine unatafuta sababu.

Nilishawahi fanya hivo lakini wapiii najitahid kumwonesha mapenzi yanaendaje lakini anaugumu flani hivi ktk kubadilika na kwa sasa niko mbali nae nahic kuwa mnyonge zaidi na cna hata me mwingine wa bahati mbaya...
 
....wapo watakaokutusi kama ulivyotoa tahadhari, mimi si mmoja wao, nakupa ukweli wewe ndo tatizo, kama unataka kubembelezwa wewe unajua kubembeleza? Mambo ya sasa ni nikune nikukune.

Obe..cjisifuu lakin kama ww ndo ungekuwa upande wangu ungekiri kwamba jinci gani mwanaume anahitaji kujaliwa especially kwenye mapenzi..nafanya saanaa naona hii inampa bichwa kuwa yy au me ndo anaitaji kujaliwa zaidi ya mm au ke mwengine
 
Natamani ningekuwa na tabia za huyo jamaa, maana...
^^
 
Kaa naye mfundishe ni nini unataka na nini hutaki.
Kitandani pia mpe somo km unaona soo kumface mnunulie majalida atasoma.
Generally nenda naye taratibu

Katika me ambaye cjawahi kumwonea aibu huyu ni wa kwanza kwenye mahucano labda kwa sababu tumezoeana sana lakin ni muwazi kwake kupita kawaida
 
Nilitaka kukushauri.Tatizo ni hao walio-nukuu uzi mzima wameniudhi mkuu.Nitarudi wakiacha.
 
Si sahihi kuendelea kukaa na huyo loser.

Njoo kwa baller ule maisha.

Trips za South Beach (siyo ile ya Kigamboni, no no no), Rodeo Drive, shopping Buckhead na kila aina ya bata imaginable.

Hahahahh uuiii nahic ningeziraii
 
Pole sana bi dada. Muombe mungu awasaidie wew na mpenz wako. Teh teh teh
 
Watoto wa kike mkishakaribia umri ambao ninyi mnadhani ni wa kuolewa huwa mwawa wasumbufu mno...

Bi mkubwa mimi naamini kabisa kinachokusumbua ni fukuto la kuolewa, na sasa waanza kujiuliza kama upo na mtu sahihi au lah...

Kama ningelikuwa ndio huyo mwanaume wako, ningelikuambia mapema uchape lapa maana muda si mrefu unaweza kuumiza moyo wa huyo mwanaume...
 
Hayo mapungufu anayo tangu mwaka wa kwanza au yameibuka karibuni?
Kama ni ya siku nyingi naomba nikutunuku nishani ya uvumilivu.
 
Kweli mitandao imeishia kuwa magenge na sehemu za umbea, itafikia miaka watu hawatakaa mitaani kupiga stories coz mitandao itakuwa kila kitu...
 
Watoto wa kike mkishakaribia umri ambao ninyi mnadhani ni wa kuolewa huwa mwawa wasumbufu mno...

Bi mkubwa mimi naamini kabisa kinachokusumbua ni fukuto la kuolewa, na sasa waanza kujiuliza kama upo na mtu sahihi au lah...

Kama ningelikuwa ndio huyo mwanaume wako, ningelikuambia mapema uchape lapa maana muda si mrefu unaweza kuumiza moyo wa huyo mwanaume...

Daaah sijui kama mwenyewe kaelewa ila mi sijaelewa
 
Hahahahahaaaaa hapa mimi najua ku-care hadi basi. Huyo anakufanya mchepuko tu njoo kwangu no matter mmeshakaa muda gani. Just come please. Tukutane PM hutajuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom