Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,345
- 108,442
Daaah sijui kama mwenyewe kaelewa ila mi sijaelewa
Hahaha!!! waanza mambo ya masai dada weye eenh ya kutoelewa Kiswahili chepesi
Last edited by a moderator:
Daaah sijui kama mwenyewe kaelewa ila mi sijaelewa
Miaka 3 yote hayo unavumilia..wewe ni mshabiki wa arsenal bila shaka
Umeanza matusi
Tusi liko wapi hapo mkuu..
pole sana .....unanifanya nimmis my T jamani tarehe 24 mbaliiiiiiiii...ananidekeza kama mtoto yani....im missing uuuuuuuuuuuuuuu!
kwa ufupi lady yoruba, huyo mshikaji anakutumia tu, na anakuchukulia kawaida sana sababu yote uliyoyataja hapo juu wewe mwenyewe hunayo.....
Hahaha!!! waanza mambo ya masai dada weye eenh ya kutoelewa Kiswahili chepesi
Jamaa hakupendi chapa lapa...
HAKUNA MAHUSIANO SAHIHI
ila watu wawili ndio huyafanya yawe sahihi kwa kiwango flani
ushawahi zungumza nae mambo usiyoyapenda na ni yapi unataka yafanyike???
Naona unajiami hapo mwisho, je wewe unamcare? Unajali matatizo yake?? una wivu? au upo upo tu!?
Haswaaah!!! Napenda kumshirkisha saana mambo yangu na kuwa muwazi kwa jambo nilipendalo na niclolipenda..ndo kawaida yangu
Kama nimeku quote vizuri, unasema hajui ku care au hakuonyeshi, mda wa miaka mi3 na hakuonyeshi,ulikua unamchelea nini?
Hayo mapenzi asiyo yajua kama unampenda kweli na wewe mjuzi wa mambo kwanini usimfundishe? Ruksa kumwambia mwandani wako nini unapenda mkiwa faragha, au hua sometimes hamuambizani kama Lov ile game ya Jana plz next time tuirudie na positions zile zile yani unanigusa ndipoooo, au story zenu ni Za pesa ya saloon na vocha tuu? Kwanza jiulize ukiwa kama mwanamke kwanini mwandani wako asiwe na time na wewe? Je humvutii tena? Jee huna vigezo vya kumthibitii? Je Wewe na wanao wadhibiti wapenzi wao wananini na wewe ushindwe unanini? Kaa chini Mdada utafakari mapenzi Sio kwenda saloon wala kujitia lipstick jitume, pole kama ntakua nimekukeraa Sio kusudio langu...
Kuwa mkweli tu kuwa umemchoka si kuleta visingizio hapa, vidogo vidogo sema umepata mwingine aliyekuonyesha vitu tofauti na huyo sasa unatafuta sababu za kumuacha isingewezekana ukawa kwenye uhusiano wa namna hiyo kwa miaka mitatu na ni wapenzi tu hata uchumba hamjaanza, kama umeamua kuanza upya anza tu ila kumbuka hakuna aliyekamilika kila mtu na udhaifu wake kama unaweza kumfundisha fanya hivyo kwani umekiri mwenyewe kuwa unampenda