Huyu ndio mpenzi nilie nae

Huyu ndio mpenzi nilie nae

Kwa sasa utajua malezi yake angalia baba yake alikuwaje kwa mama yake watu wengine wana matatizo ya kisaikologia na makuzi na dhana aliyonayo juu ya mwanamke na mpenzi mtafute mama yake ukaye naye ujue jinsi alivyotunzwa na alivyokuzwa. Pili jiwekeeni muda wa mazungumzo serious simu zenu zikiwa zimezimwa utafiti uliotolewa jana imeonyesha wapenzi wamepunguza kwa asilimia 60 kuongea wenyewe na kuongea na rest of the world. Muweke wazi kwa upole kwamba mbona uoni future sio kwa kuoji bali kwa taratibu mkiwa unamuhakikishia kuwa unampenda.
Is he worth the effort?
 
Kweli eeeh..?

Ni kweli kabisaa' niliwahi kuwa katika mahusiano Ya dizaini yako japo wangu alikua anajiweza sana kitandani 😄
Pia nilidum nae Mwaka tu' nikajua natumika' enzi zetu hatukua na neno mchepuko' Ila ki ukweli nilikua mchepuko
Kimbia haraka sana
 
Mhhh ngumu kumeza..huu ni uhalisia au storii ya kutungaa??etii pamoja ya haya yote bado nampenda...hahaaa kazi kweli kweli bidada
 
Ni kweli kabisaa' niliwahi kuwa katika mahusiano Ya dizaini yako japo wangu alikua anajiweza sana kitandani 😄
Pia nilidum nae Mwaka tu' nikajua natumika' enzi zetu hatukua na neno mchepuko' Ila ki ukweli nilikua mchepuko
Kimbia haraka sana

Nakimbiaa spidiii milioniiiii
 
Si sahihi kuendelea kukaa na huyo loser.

Njoo kwa baller ule maisha.

Trips za South Beach (siyo ile ya Kigamboni, no no no), Rodeo Drive, shopping Buckhead na kila aina ya bata imaginable.
hahaa haa jiandae kusumbuliwa pm
 
Dada hebu amka unataka mpaka akwambie sikutaki endelea na maisha yako amka hujachelewa bado usiendelee kupoteza muda yalinikuta mimi yaani mpk nilikuwa najiona ---- muda mwingine maana naona mbn kama jamaa he is not into me lakin najipa moyo agh atabadilika tuu
Mmh alikata mawasiliano miezi mitano kumbe alikuwa ndo kwenye mchaka mchaka wa kuoa
Lakini Mungu anajua sana kiko wapi ndoa imedumu mwaka jamaa kakimbia nyumba maana kakutana na mwanamke noma.Dada fanya maamuzi
 
Kama nimeku quote vizuri, unasema hajui ku care au hakuonyeshi, mda wa miaka mi3 na hakuonyeshi,ulikua unamchelea nini?
Hayo mapenzi asiyo yajua kama unampenda kweli na wewe mjuzi wa mambo kwanini usimfundishe? Ruksa kumwambia mwandani wako nini unapenda mkiwa faragha, au hua sometimes hamuambizani kama Lov ile game ya Jana plz next time tuirudie na positions zile zile yani unanigusa ndipoooo, au story zenu ni Za pesa ya saloon na vocha tuu? Kwanza jiulize ukiwa kama mwanamke kwanini mwandani wako asiwe na time na wewe? Je humvutii tena? Jee huna vigezo vya kumthibitii? Je Wewe na wanao wadhibiti wapenzi wao wananini na wewe ushindwe unanini? Kaa chini Mdada utafakari mapenzi Sio kwenda saloon wala kujitia lipstick jitume, pole kama ntakua nimekukeraa Sio kusudio langu...

Umemwambia kweli lakn muda mwingine mtu anaweza ukawa na mtu unaona mapungufu yake unajipa moyo atabadilika lkn wapi cha msingi dada aulize ni nini mwisho wa mahusiano yao jamaa ana mpango upi na yeye jmn kuna mengi ya kutafakari isije kuwa dada kajiaminisha hapo kumbe jamaa anapita tuu
 
Mambo mengne ukibaki kmy. ..threader anajiongeza
 
Kuwa mkweli tu kuwa umemchoka si kuleta visingizio hapa, vidogo vidogo sema umepata mwingine aliyekuonyesha vitu tofauti na huyo sasa unatafuta sababu za kumuacha isingewezekana ukawa kwenye uhusiano wa namna hiyo kwa miaka mitatu na ni wapenzi tu hata uchumba hamjaanza, kama umeamua kuanza upya anza tu ila kumbuka hakuna aliyekamilika kila mtu na udhaifu wake kama unaweza kumfundisha fanya hivyo kwani umekiri mwenyewe kuwa unampenda

Very well said
 
Yeye yuko 25 na wewe 22 bado safair ndefu, kwani wataka kuoelewa saivi?
Mimi nadhani kuna kitu either unaficha au unaona kwa shogazo wanafanyiwa na mabfs wao na wewe unatamani angekufanyia. Ungejibu hoja ya Daudi1 tungejua nini hasa sababu ya wewe kuyaona mapungufu yake baada ya miakla mitatu ya mahusiano....!

Hata hivyo, 22yrs unatakiwa uwe chuoni huku ukijitahidi kimasomo ili kuondokana na utegemezi hapo baadae, achana na mihemko hiyo, bado hujakomaa kuhendo mahusiano,....!
 
Last edited by a moderator:
Habari wana JamiiForums mimi sio mwenyeji sana wa JamiiForums lakini ni mwenyeji pia kwa sababu huwa napenda sana kutembelea hii tovuti na kuchangia mada inaponibidi, kwahiyo kama niliivyoandika hapo juu sio mgeni hapa.

Niendelee tuu kwa kusema kuwa nimekua na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa tunaheshimiana kwa hilo nashukuru, kwa kawaida ndani ya huo muda wa miaka hiyo hatujawahi kuwa na ugomvi ambao ukapelekea penzi letu kuisha, la hasha!! Lakini kuna matatizo ambayo huninyima raha kama binti ninaejitambua na kujielewa, kwanza mpenzi wangu;

*Hajui kuCare, namanisha huwa hashitushwi na matatzo yangu tena madogo tu
*Hawezi kunibembeleza; kama binti kuna muda nafeel kufanywa kama mtoto na mpenzi wangu..lakini hakuna hicho kitu sasa cjui hawezi au ananifanyia mm, cjui
*Kitandani c mjuzi saana anajitahidi lakin wapii
*Hana wivu na mimim; hata anikute nakiss na man (french kiss) nikimwambia just a friend huwa haniulizi twice (huu mfano tuu)
*Hana tabia ya kukaa na mimi na kuongea kuhusu mambo yajayo kimaisha (future) kitu ambacho kinaniumiza sana naishije na mtu ambaye hajui hata kesho yake?
*Ku-spend zaidi ya uwezo just like ponda mali kufa kwaja
*Hana support ya maana hata kwa jambo la maana kwetu sote

Wapendwa nimechoka kuandika, ila please naombeni ushauri wenu msinitusi, kunikejeli na kudhihaki, mnishauri ni sahihi kuendelea kuwa nae au nianzishe ukurasa mpya wa kwangu binafsi?

Nampenda ila naweza kuishi bila yeye.

Karibuni.

Ina maana hana zuri hata moja alilokufanyia? Tena miaka mitatu?
 
ULIANZA KUGUNDUA BAADA YA MIAKA MITATU?
SUBIRA HUVUTA KHERI JARIBU KUONGEZA MINGINE MI--- 3
AU KAMA VP NI PM NIWE NAMSAIDIA BAADHI YA MABO KIMYA KIMYA:tonguez:
 
Miaka mitatu ni mingi,mmeshazoeana labda anajisahau mkumbushe kwa kumwambia baby mbona hufanyi hiki na hiki kama mwanzoni,akireact vibaya jua hakupendi,chapa lapa...kama anakupenda atakuambia umpe muda ajirekebishe....dont let it go.....

Duh kama nimekuelewa vile..haiwezekani mtu 3 yrs ukae tu unavumilia hayo mapungufu
 
We limbwata hulijui dada? Tafuta limbwata wewe
(Natania jamani)
 
I takes so many hurt breaks to realize that none can love u n take care of u more thn the way u cud do it urself....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom