Jamsuldash
Member
- Jul 14, 2011
- 69
- 24
Ukuta wa ikulu uliharibika, wakandarasi waliitwa na kuambiwa atakayejenga kwa ubora mkubwa ila kwa bei nafuu ndiye atakayepewa kazi.
Mjerumani: nitajenga kwa mil 90 yaani 40 ya vifaa, 40 ya wafanyakazi na 10 ndio faida yangu.
Mchina: nitajenga kwa mil 70 yaani 30 ya vifaa, 30 ya wafanyakazi na 10 ni faida yangu.
Mbongo akamvuta msimamizi wa ikulu chemba na mambo yakawa hivi:
Mbongo: nitajenga kwa mil 270.
Msimamizi: we una akili timamu kweli? pesa yote hiyo ya kazi gani? We hujasikia viwango vya wenzako na ndiyo wenye ubora mkubwa katika kazi kuliko wewe!
Mbongo: mil 100 yako 100 yangu na 70 tunampa yule mchina! Deal or no deal?
Msimamizi: deal.
Hapana chezea mbongo.
Mjerumani: nitajenga kwa mil 90 yaani 40 ya vifaa, 40 ya wafanyakazi na 10 ndio faida yangu.
Mchina: nitajenga kwa mil 70 yaani 30 ya vifaa, 30 ya wafanyakazi na 10 ni faida yangu.
Mbongo akamvuta msimamizi wa ikulu chemba na mambo yakawa hivi:
Mbongo: nitajenga kwa mil 270.
Msimamizi: we una akili timamu kweli? pesa yote hiyo ya kazi gani? We hujasikia viwango vya wenzako na ndiyo wenye ubora mkubwa katika kazi kuliko wewe!
Mbongo: mil 100 yako 100 yangu na 70 tunampa yule mchina! Deal or no deal?
Msimamizi: deal.
Hapana chezea mbongo.