Hata mimi namkubali sana pargarNampenda sana Ibrahim pasha
Hata Hurrem atakufa.Lazima afe
Simpendi hurem jaman mwanamke nyoka yuleeHata Hurrem atakufa.
Tunampenda sieeSimpendi hurem jaman mwanamke nyoka yulee
kUtoboa kwako sikio tu inaonyesha wewe ni mtu wa aina ganiNaam sultan imeteka watu wan jinsia zote sio midume sio wake naona kuna mibaba nayo humu inajiita team hurlem,mke wangu leo ndo mwisho wa kunilazimisha niangalie haya mambo kuanzia kesho nikirudi home nikute remote nimetengewa kabisa nataka niangalie mapambano ya UFC mimi usinlazimishe kuangalia huu umama,nadhani umeshanisikia maana upo humu..
Wabongo hakuna mwenye shule ya sanaaa.Tz waigizaji wengi Std 7 na fm4 failure hafu tutegemee wataigiza kama waturuki, au wakorea au waphilipino, nazani Sana'a ya Tz haitakuja kukuwa.
hii tamthilia sio wanaume wa dar pekee yao, ni tanzania nzima na watz waishio nje ya nchi.Wanaume wa Dar wote hapa!