Huyu Nabii/mchungaji ni kero Iringa mjini

Huyu Nabii/mchungaji ni kero Iringa mjini

Tronics guru

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
10,372
Reaction score
7,983
Context

Huyo mtu anajiita nabii huwa kazi yake ni kuzunguka pale iringa mjini na kuwapigia kelele wanawake waliovaa suruali.

Huwa mara nyingine anawatukana na kuwadhalilisha sana wanawake pale iringa town na hachagui rangi hata wazungu huwa anawazingua vilevile.

Sasa hii siku huyo mke wa jamaa hapo alikua anazunguka zake mjini si akakutana na jamaa (nabii) ,nabii akamdhalilisha sana kwamba kavaa nusu uchi hizi sio mila zetu apeleke ujinga wake kwao(nabii kizungu kidogoo ipo).

Kiufupi alim'harass sana mbele ya raia

Dada akawa offended sana ikabidi amcheki mume wake chap ,mwamba akafika amejaa upepo hatari,asee wazungu hawapendi kabisa um'harras mke wake.

Hapo mzungu kammind sana na anajaribu kumpeleka polisi,alivyoona anajaza mji akaamua kumpotezea.

But wanawake wengi iringa ni victims kwa huyu mzee,mamlaka mmulikeni huyu nabii.
Moderator nimeweka maelezo usifute tena
 
Mazafaka hao wanaojificha kwenye kivuli cha dini. Watu wangu wa Iringa mnashindwa mfanyia undava uyo fala?
 
Context

Huyo mtu anajiita nabii huwa kazi yake ni kuzunguka pale iringa mjini na kuwapigia kelele wanawake waliovaa suruali.

Huwa mara nyingine anawatukana na kuwadhalilisha sana wanawake pale iringa town na hachagui rangi hata wazungu huwa anawazingua vilevile.

Sasa hii siku huyo mke wa jamaa hapo alikua anazunguka zake mjini si akakutana na jamaa (nabii) ,nabii akamdhalilisha sana kwamba kavaa nusu uchi hizi sio mila zetu apeleke ujinga wake kwao(nabii kizungu kidogoo ipo).

Kiufupi alim'harass sana mbele ya raia

Dada akawa offended sana ikabidi amcheki mume wake chap ,mwamba akafika amejaa upepo hatari,asee wazungu hawapendi kabisa um'harras mke wake.

Hapo mzungu kammind sana na anajaribu kumpeleka polisi,alivyoona anajaza mji akaamua kumpotezea.

But wanawake wengi iringa ni victims kwa huyu mzee,mamlaka mmulikeni huyu nabii.
Moderator nimeweka maelezo usifute tena
View attachment 3198981
Matokeo ya uhuru usio na mipaka. Huu uholela wa makanisa na sijui ministries una matokeo hasi sana kwa jamii. Na tumeamua kufumbia macho na kuzibia masikio upuuzi huu tukihofia kuonekana wapinga dini
 
Back
Top Bottom