Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 26,355
- 39,825
Umempokea Yesu?Walawi 19:28 NEN
“ ‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya mfu, wala msijichore alama juu ya miili yenu. Mimi ndimi BWANA.
Umempokea Yesu?Walawi 19:28 NEN
“ ‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya mfu, wala msijichore alama juu ya miili yenu. Mimi ndimi BWANA.
Nabii ni mtu ambaye anapewa unabii na mungu kwaajili ya kuuwasilisha kwa binadamu kwa madhumuni mbalimbali ikiwamo kuhabarisha, kuwaonya, kutoa maagizo ya mungu n.kSamahan kdg mkuu ila bado sijaridhika naomba unipe zile taratibu au labda niseme requirements za mtu kuteuliwa kuwa Nabii katik Ukristo ni zipi ? Au wanajiamulia wenyew ?
Au wanasomea chuoni na kupewa Unabii, mwenye anaelew na ameelewa swali langu naomba anijibu.
Coz saiz manabii wamekua wengi mnooo, wengi sana.
Tukishajua requirement za mtu kua nabii kwa mujib wa biblia nd tutajua fulani ni nabii au sio nabii wa kweli.
Nawasilisha.
Lazima na sio kidogo watapigwa wakutosha,mazezeta na mazuzu wako wakutosha sana....akishaondoka utasikia kaoa mwanaume toka bongoKuna kondoo watapigwa hapo
Someni biblia muielewe.Enzi za walawi sio😅😅😅
Kwamba mungu anatunga sheria mbilimbili, kwaajili ya walawi na kwaajili ya watanzania sio??
Sawa nimekuelewa mama, wewe umeisoma biblia ukaielewa, bac naomba unieleweshe ndo maana nikakuuliza swali?Someni biblia muielewe.
Mzee Kanisa halitakufa kwani mwenye Kanisa yu hai na ameahidi kuwa amelijenga kanisa lake juu ya mwamba na Malango ya Kuzimu hayatalishinda. Hizi drama za hao Vijana hazitaliua Kanisa kwa namna yoyote. Watapita kama Upepo Mkuu kwani walikuwepo wenye drama za namna hiyo toka enzi na Enzi na Kanisa bado lipo ngangari.Kuna kizazi Cha walokole wa kuanzia miaka ya 2000 kupanda wabishi na wajuaji wao hata ushoga wanakubali na kulazimisha . Na vimaswali vyao imeandikwa wapi kwenye Biblia. Na hili kizazi Cha wachora tattoo miaka ishirini ijayo kitakiwa ndio kimeliua kanisa. Nawapenda Waislamu waliyoweka discipline kwenye misikiti yao, sio sisi shoga anaitwa Nabii.
sisi Kwenye Dini Yetu Inaelezwa Kuwa Manabii Ni Watu Waliolindwa Dhidi Ya Machafu Kabla Hata Ya Kupewa Unabii Mungu Hakuwa Anachukua Tu Wahun Wahun Kama Paulo Na Kuwapa Utume.Allah Anajua Kuwa Huyu Anaenda Kuwa Nabii Lazma Awe Mtu Mwema Toka Utoto Wake Kama Mfano Ili Iwe Rahisi Watu Kumwamini.Au Sijui Kwenu Mnatafsiri Nabii Ni Nani Maana Kila Mtu NabiiWapo manabii kwenye biblia kabla hawampokea kristo huko nyuma maisha yao hayakumpendeza Mungu
Mfano musa aliua kule misri lakini baada ya kuteuliwa yeye ndio alipewa agano la amri kumi za Mungu na aliendelea kuishi maisha yakumpendeza Mungu baada ya kuitwa kwenye wokovu
Mtume paulo aliuwa watu wengi alimpompokea kristo aliishi maisha ya kumpendeza Mungu mpaka kifo chake
Je huyu nabii kwa huo muonekano wake vipi
tapeli huyu bhnaaMjadala upo amejadiliwa sana huyu nabii, wanasema ni mzimbabwe na jinsi alivyo ni utamaduni wa wandebele kuwa hivyo wala haishangazi. Sisi watanzania kwa imani yetu hatukubaliani na muonekano wake tunamuona kama wakala wa shetani. Avae haiba inayoendana na mila na desturi za kikristo, bora hata angevaa kanzu na kuachia madevu
Vibaya sanaaaaKuna kondoo watapigwa hapo
Mh kwani dini nyingine utaratibu ni upi si huo huo kama Ukristo! Mtu anasema kaongea na Mungu ni juu yenu kuamini ni kweli au la!Samahan kdg mkuu ila bado sijaridhika naomba unipe zile taratibu au labda niseme requirements za mtu kuteuliwa kuwa Nabii katik Ukristo ni zipi ? Au wanajiamulia wenyew ?
Au wanasomea chuoni na kupewa Unabii, mwenye anaelew na ameelewa swali langu naomba anijibu.
Coz saiz manabii wamekua wengi mnooo, wengi sana.
Tukishajua requirement za mtu kua nabii kwa mujib wa biblia nd tutajua fulani ni nabii au sio nabii wa kweli.
Nawasilisha.
Pipiga ua garagaza huyu Ni nabii feki na tapeliWajinga waliwao
Ova
Miguu utadhani ya kware. Bladifaken haiwezekani Yesu kudhalilishwa kizembe kizembe namna hii lazima pachimbike.Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa
Taarifa isiyo rasmi inasemekana atakuwepo hapo leader club kufanya maombi na nabii sijui clear malisaa sijajuwa Bado
Swali
Je muonekana wa mtu Haina shida kwenye imani au dini ,kweli kuchora tatooo inakubalika wapi ktk kanisa gani
Picha ya manabii hi hapa chini.
3View attachment 2836695
Tapeli huyoMh kwani dini nyingine utaratibu ni upi si huo huo kama Ukristo! Mtu anasema kaongea na Mungu ni juu yenu kuamini ni kweli au la!
Kwanin huyu tapeli ajapewaa Hili andiko Happ wasafiWalawi 19:28 NEN
“ ‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya mfu, wala msijichore alama juu ya miili yenu. Mimi ndimi BWANA.
Tatizo la afya akili hiloNabii mjanjamjanja anatrendishwa.
Anasema huwa anachat na Yesu whatsapp hahahah
Ingekuwa wale jamaa suruali kipande.Ila hii dini inachezewa sana.
Mambo yenu wa Dar hayo.. pambaneni nayo.Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa
Taarifa isiyo rasmi inasemekana atakuwepo hapo leader club kufanya maombi na nabii sijui clear malisaa sijajuwa Bado
Swali
Je, muonekana wa mtu Haina shida kwenye imani au dini ,kweli kuchora tatooo inakubalika wapi ktk kanisa gani
Picha ya manabii hi hapa chini.
View attachment 2836696View attachment 2836695