Chini kapiga kinjunga cha hatariMjadala upo amejadiliwa sana huyu nabii, wanasema ni mzimbabwe na jinsi alivyo ni utamaduni wa wandebele kuwa hivyo wala haishangazi. Sisi watanzania kwa imani yetu hatukubaliani na muonekano wake tunamuona kama wakala wa shetani. Avae haiba inayoendana na mila na desturi za kikristo, bora hata angevaa kanzu na kuachia madevu
sisi wakristo tuna uvumilivu sana kwenye imani yetu, watu wanaichezea watakavyo. Kwa waislam huyu anafanywa kitu mbayaChini kapiga kinjunga cha hatari
Wapo manabii kwenye biblia kabla hawampokea kristo huko nyuma maisha yao hayakumpendeza MunguSasa hukmu ya huyu alikwisha jichora ni ipi ?
Lkn pia naomba unielekeze utaratibu wa kuwa nabii ukristo unakuaje kuaje.
Maana kusema ukweli mnao manabii na mitume wengi sana. Kila kona utaskia nabii na mtume fulani.
Naomba nitoe tongo za macho ndugu yangu
Haswaaa, watu wanaidhihaki sana hii dinisisi wakristo tuna uvumilivu sana kwenye imani yetu, watu wanaichezea watakavyo. Kwa waislam huyu anafanywa kitu mbaya
Samahan kdg mkuu ila bado sijaridhika naomba unipe zile taratibu au labda niseme requirements za mtu kuteuliwa kuwa Nabii katik Ukristo ni zipi ? Au wanajiamulia wenyew ?Wapo manabii kwenye biblia kabla hawampokea kristo huko nyuma maisha yao hayakumpendeza Mungu
Mfano musa aliua kule misri lakini baada ya kuteuliwa yeye ndio alipewa agano la amri kumi za Mungu na aliendelea kuishi maisha yakumpendeza Mungu baada ya kuitwa kwenye wokovu
Mtume paulo aliuwa watu wengi alimpompokea kristo aliishi maisha ya kumpendeza Mungu mpaka kifo chake
Je huyu nabii kwa huo muonekano wake vipi
Dar es salaam mpendwaMkoa gani
Huyu ni Mkongo kabisa, Awilo Longomba ni mjomba wao. Babu yake aliwahi kupiga na bendi ya TP OK Jaz, na baba yake pia alikuwa mwanamuziki huko Kongo, bendi nimeisahau jina.Mndebele ni yule Prophet Java. Huyu ni mkongomani mixer na mkenya.
Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa
Taarifa isiyo rasmi inasemekana atakuwepo hapo leader club kufanya maombi na nabii sijui clear malisaa sijajuwa Bado
Swali
Je muonekana wa mtu Haina shida kwenye imani au dini ,kweli kuchora tatooo inakubalika wapi ktk kanisa gani
Picha ya manabii hi hapa chini.
View attachment 2836696View attachment 2836695
Hayo ni enzi za Walawi kabla Yesu mkombozi wetu hajakufa msalabani. Pale Calvari yoooote yalikwisha.Mambo ya Walawi 19:28
Msichanje chale yoyote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA.
Wapo wapo tu kama misukule.Ila hii dini inachezewa sana.
Yalikwisha? Yalikwishaje mambo ya tattoo pale msalabani?Hayo ni enzi za Walawi kabla Yesu mkombozi wetu hajakufa msalabani. Pale Calvari yoooote yalikwisha.
Enzi za walawi sio😅😅😅Hayo ni enzi za Walawi kabla Yesu mkombozi wetu hajakufa msalabani. Pale Calvari yoooote yalikwisha.
Hapo ndipo ninapo wakubaligi waislam huwez ichezea dini yaosisi wakristo tuna uvumilivu sana kwenye imani yetu, watu wanaichezea watakavyo. Kwa waislam huyu anafanywa kitu mbaya
Ndugu zetu wakiristo huwa wapesi wa kuhadaika na watu kama hawa. Utaona wanapanga foleni kwenda kwa mchora totto. Waislam upuuzi kama huu hawanao. Eti nabii. Nabii gani wa kipindi hichi? Nabii alikuwa Issa (Yesu)Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa
Taarifa isiyo rasmi inasemekana atakuwepo hapo leader club kufanya maombi na nabii sijui clear malisaa sijajuwa Bado
Swali
Je muonekana wa mtu Haina shida kwenye imani au dini ,kweli kuchora tatooo inakubalika wapi ktk kanisa gani
Picha ya manabii hi hapa chini.
View attachment 2836696View attachment 2836695