Huyu nabii ametokea wapi mbona ametrend sana?

Huyu nabii ametokea wapi mbona ametrend sana?

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,754
Reaction score
18,776
Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa

Taarifa isiyo rasmi inasemekana atakuwepo hapo leader club kufanya maombi na nabii sijui clear malisaa sijajuwa Bado

Swali

Je, muonekana wa mtu Haina shida kwenye imani au dini ,kweli kuchora tatooo inakubalika wapi ktk kanisa gani

Picha ya manabii hi hapa chini.

IMG_20231208_161607.jpg
View attachment 2836695
 
Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa...
Mko huru katika kutafuta mafundisho ya kweli; ila ktk nyakati hizi za mwisho ni muhimu kujikita kwenye elimu ya ujuzi wa kweli wa Biblia ambao hata Waislam watakosa sababu ya kuubeza.

Fika Uwanja wa Maonyesho Saba Saba tarehe 16 na 17 December uone NAMNA Mwl Francis Ndacha anavyoitetea Biblia MBELE ya Waislam


View: https://www.youtube.com/live/MjV6HoXEAIs?si=LA4NBzAi2a2F6QMn
 
Mjadala upo amejadiliwa sana huyu nabii, wanasema ni mzimbabwe na jinsi alivyo ni utamaduni wa wandebele kuwa hivyo wala haishangazi. Sisi watanzania kwa imani yetu hatukubaliani na muonekano wake tunamuona kama wakala wa shetani. Avae haiba inayoendana na mila na desturi za kikristo, bora hata angevaa kanzu na kuachia madevu
 
Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa

Taarifa isiyo rasmi inasemekana atakuwepo hapo leader club kufanya maombi na nabii sijui clear malisaa sijajuwa Bado

Swali

Je muonekana wa mtu Haina shida kwenye imani au dini ,kweli kuchora tatooo inakubalika wapi ktk kanisa gani

Picha ya manabii hi hapa chini.

View attachment 2836696View attachment 2836695
Samahan naomba kuuliza et wapi katika biblia imekataza kuchora tatoo ?
 
Mjadala upo amejadiliwa sana huyu nabii, wanasema ni mzimbabwe na jinsi alivyo ni utamaduni wa wandebele kuwa hivyo wala haishangazi. Sisi watanzania kwa imani yetu hatukubaliani na muonekano wake tunamuona kama wakala wa shetani. Avae haiba inayoendana na mila na desturi za kikristo, bora hata angevaa kanzu na kuachia madevu

Mndebele ni yule Prophet Java. Huyu ni mkongomani mixer na mkenya.
 
Kuna kizazi Cha walokole wa kuanzia miaka ya 2000 kupanda wabishi na wajuaji wao hata ushoga wanakubali na kulazimisha wengine. Na vimaswali vyao imeandikwa wapi kwenye Biblia. Na hili kizazi Cha wachora tattoo miaka ishirini ijayo kitakiwa ndio kimeliua kanisa. Nawapenda Waislamu waliyoweka discipline kwenye misikiti yao, sio sisi shoga anaitwa Nabii.
 
Iko HV nimepita pita mtandao fln na kuona picha ya kijana anasemekana Ni nabii na akiwa amejichora tattoo mikono yote na kutoboa sikio na haitoshi akasuka na Rasta kbsa

Taarifa isiyo rasmi inasemekana atakuwepo hapo leader club kufanya maombi na nabii sijui clear malisaa sijajuwa Bado

Swali

Je muonekana wa mtu Haina shida kwenye imani au dini ,kweli kuchora tatooo inakubalika wapi ktk kanisa gani

Picha ya manabii hi hapa chini.

View attachment 2836696View attachment 2836695
Msije mkaita hata mashetani manabii tu🤔
 
Walawi 19:28 NEN
“ ‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya mfu, wala msijichore alama juu ya miili yenu. Mimi ndimi BWANA.
Sasa hukmu ya huyu alikwisha jichora ni ipi ?

Lkn pia naomba unielekeze utaratibu wa kuwa nabii ukristo unakuaje kuaje.

Maana kusema ukweli mnao manabii na mitume wengi sana. Kila kona utaskia nabii na mtume fulani.
Naomba nitoe tongo za macho ndugu yangu
 
Back
Top Bottom