GOKILI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 625
- 435
Mkuu Asante kwa kumuelimisha maana mjini shule.Si kila king'aacho ni dhahabu.huyo sio mzungu halisi wa kampuni hiyo ni mzungu feki. anataka upeleke hela na mtakutana eneo lingine kabisa na kijana wake, mwisho wa siku utasubiri ajira hadi miaka ishirini na ukienda ofisini hautamkuta na watakuwa hawamjui. beware.