Huyu mzungu kanishangaza

huyo sio mzungu halisi wa kampuni hiyo ni mzungu feki. anataka upeleke hela na mtakutana eneo lingine kabisa na kijana wake, mwisho wa siku utasubiri ajira hadi miaka ishirini na ukienda ofisini hautamkuta na watakuwa hawamjui. beware.
Mkuu Asante kwa kumuelimisha maana mjini shule.Si kila king'aacho ni dhahabu.
 
Hiyo inaitwa 'feedback', ni taarifa ya kujua kinachoendelea, wewe si uliomba kazi? sasa yeye anakujulisha kinachoendelea, wangekaa kimya ungelalamika kwamba hujui kinachoendelea!
 
Habari wakuu,kuna mzungu ambae kanipigia kutoka kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonishangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?

Inakusaidia kujiandaa, ni ni wakati wako sasa kuitembelea na kuichunguza hiyo kampuni ili ujue nguvu na udhaifu wao ambao wewe utaingia kwenye usahili ukiwa na hali yankujiamini

Pia inakupa muda mzuri wa kujipangia program zako, so kama ulikuwa na safari kwa muda huo aliokwambia basi unaweza kusogeza mbele ili usikose hiyo bahati
 
Habari wakuu,kuna mzungu ambae kanipigia kutoka kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonishangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?
Umejuaje ni mzungu na mliongea kwa simu tu?,au ni sauti ndio inakufanya uamini ni mzungu?,kuna dalili za mtu kupigwa hapo,time will tell
 
Habari wakuu,kuna mzungu ambae kanipigia kutoka kwenye kampuni kubwa tu ya kimataifa hapa bongo kanipigia simu kaniuliza wewe ndiyo flani na ulituma email ya maombi ya kazi flani kwenye kampuni yetu nikajibu ndiyo akaniambia basi after next few days tutawatumia email ya kuwajulisha wale tutakaokua tunahitaji kufanya nao oral interview.

kilichonishangaza ni kama bado wana watu wao wanaowataka mimi alinipigia kuniambia hayo ili iweje labda kwa nini tu asingesubiri siku ifike aniite kwenye interview kuliko kunitia presha hivi?
Mkuu ndio application yako ya kwanza nini? Ni kawaida sana siku hizi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom