Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,966
- 5,559
Physically haujachanika lakini economically na technologically umechanika.Mimi sijachanika
Hajasema kwamba tusiamini kuwepo kwa Mungu, after all, tulishanza kuamini hivyo hata kabla ya ujio wao, anachosema ni ujinga wa kuendelea kuwaamini miungu ya kigeni ktk Ugeni uleule tuloletewa nao, namuunga mkono... Ni ujinga uliotukuka.dola ya US imeandikwa in God we trust, Mbona hawatukani hao wazungu?
Kwani ukristu ulianzia ulayaHapo vip!!
Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!
NA HUYU MWINGINE KASEMA HIVI-A NATION THAT ONLY REWARDS POLITICIANS AND PREACHERS DOES NOT HAVE A BRIGHT FUTURE-HII KASEMA JAN ZIGBE) NAONA NI KAMA KUNA UKWELI HAPO.Hapo vip!!
Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!
NA HUYU MWINGINE KASEMA HIVI-A NATION THAT ONLY REWARDS POLITICIANS AND PREACHERS DOES NOT HAVE A BRIGHT FUTURE-HII KASEMA JAN ZIGBE) NAONA NI KAMA KUNA UKWELI HAPO.Hapo vip!!
Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!

Hapo vip!!
Nimejaribu kusoma maelezo ya mzungu mmoja, kwenye hyo attachment hapo chini, nikamkumbuka Trump alisema, waafrika tumejee kwenye industries ya dini tukiamini umaskini inaletwa na pepo!!
dola ya US imeandikwa in God we trust, Mbona hawatukani hao wazungu?