josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 640
Heshima kwenu wakuu, nikiwa napitia taarifa mbalimbali kule youtube bhana nkakutana na kipindi cha ziara iliyofanyika na mwandishi wa Wasafi Digital huko Manyara kuhusu kabila la wahadzabe.
Katika mahojiano na mzee mmoja kuhusu masuala ya kulenga shabaha yule mzee akasema aliwahi kushiriki mashindano ya wilaya, mkoa na taifa na kote akashinda hadi akapelekwa kushiriki hayo mashindano Korea Kusini ila hajui kilichoendelea maana alivyorudi nchini alipewa zawadi ya baiskeli tu.
Kwa kweli nmeishia kusikitika tu maana naamini hapa kutakuwa kuna watu walipiga dili mporipori huyu asiyejua kitu akaishia kununuliwa baiskeli akawindie swala huko porini.
Katika mahojiano na mzee mmoja kuhusu masuala ya kulenga shabaha yule mzee akasema aliwahi kushiriki mashindano ya wilaya, mkoa na taifa na kote akashinda hadi akapelekwa kushiriki hayo mashindano Korea Kusini ila hajui kilichoendelea maana alivyorudi nchini alipewa zawadi ya baiskeli tu.
Kwa kweli nmeishia kusikitika tu maana naamini hapa kutakuwa kuna watu walipiga dili mporipori huyu asiyejua kitu akaishia kununuliwa baiskeli akawindie swala huko porini.