Huyu mwekezaji apigwe marufuku

Huyu mwekezaji apigwe marufuku

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Katika hali isio kuwa ha kawaida na iliowashangaza wengi kampuni ya tour guides imeanza kuwa beba wageni wake wanao tembelea mbuga kupitia kampuni hiyo ,ubebaji huwo ambao machela hutumika kama picha inavyoonyesha ImageUploadedByJamiiForums1425046545.282859.jpg umelaaniwa vikali na jumuiya mbali mbali za haki za binadamu, hali Hii pia imeikasirisha serikali kupitia wizara ya mali asili na utalii na kupitia msemaji wake wana azimia kupiga marufuku utoaji huo wa huduma ya biashara, kwani ni udhalilishaji pia unashiria vitendo vya utumiwa, na baadhi ya wanachi wamedai hayo Ni baadhi tu ya mambo mabaya wafanyayo baadhi ya wawekezaji kwa wazawa hapa nchi
 
wewe umeamua kuchekesha, sidhani kama hii inaweza kutokea tanzania akseh
 
Katika hali isio kuwa ha kawaida na iliowashangaza wengi kampuni ya tour guides imeanza kuwa beba wageni wake wanao tembelea mbuga kupitia kampuni hiyo ,ubebaji huwo ambao machela hutumika kama picha inavyoonyeshaView attachment 230287 umelaaniwa vikali na jumuiya mbali mbali za haki za binadamu, hali Hii pia imeikasirisha serikali kupitia wizara ya mali asili na utalii na kupitia msemaji wake wana azimia kupiga marufuku utoaji huo wa huduma ya biashara, kwani ni udhalilishaji pia unashiria vitendo vya utumiwa, na baadhi ya wanachi wamedai hayo Ni baadhi tu ya mambo mabaya wafanyayo baadhi ya wawekezaji kwa wazawa hapa nchi

Hiyo kampuni inaitwaje...........?.......
 
Hapana mkuu kampuni ya tour guide inafanya shughuli zake hapa nchini na makao yao makuu ni mkoa mmoja wapo kati ya kilimanjaro au arusha

Sasa huku ni kupiga ramli.........Kwani ukiitaja hiyo kampuni nani anakujua humu.........?......tour companies Arusha na Moshi zipo nyingi sana.........huoni kama ukiiweka wazi utawasaidia waTanzania wenzako ambao wananyanyasika na ukoloni mamboleo.........?......kama hutaki kuitaja umeandika ya nini hii thread.........?
 
Hope huyu aliyeandika alikuwa anakimbizwa na simba! Hebu jaribuni kuandika vitu vinavyoeleweka!Tour Guide ndo kampuni gani? Iko wapi? Nani mmiliki wake! Hizi aina za kutembeza wageni kwa machela zinafanyika wapi? Jaza taarifa yako nyama mkuu la sivyo usikurupuke kuandika ramli hapa! Au uliota ukaja kuandika hapa?
 
mleta mada hututendei haki wengine. Tumepigika kichiz wiki nzima kubeba boksi leo ijumaa jion kwa furaha kukalia jf vzur mnatulisha swaga na fiksi. Ni uongo mtupu iyo picha Ni movie scene
 
Sasa huku ni kupiga ramli.........Kwani ukiitaja hiyo kampuni nani anakujua humu.........?......tour companies Arusha na Moshi zipo nyingi sana.........huoni kama ukiiweka wazi utawasaidia waTanzania wenzako ambao wananyanyasika na ukoloni mamboleo.........?......kama hutaki kuitaja umeandika ya nini hii thread.........?

Tunashida ni uhuru wa biashara ila jua haya mambo yana angina hapa hapa tanzania mkuu
 
Katika hali isio kuwa ha kawaida na iliowashangaza wengi kampuni ya tour guides imeanza kuwa beba wageni wake wanao tembelea mbuga kupitia kampuni hiyo ,ubebaji huwo ambao machela hutumika kama picha inavyoonyeshaView attachment 230287 umelaaniwa vikali na jumuiya mbali mbali za haki za binadamu, hali Hii pia imeikasirisha serikali kupitia wizara ya mali asili na utalii na kupitia msemaji wake wana azimia kupiga marufuku utoaji huo wa huduma ya biashara, kwani ni udhalilishaji pia unashiria vitendo vya utumiwa, na baadhi ya wanachi wamedai hayo Ni baadhi tu ya mambo mabaya wafanyayo baadhi ya wawekezaji kwa wazawa hapa nchi
Hii imetokea Uganda siyo Tanzania
 
Khaaaaaaaa! Ukisikia kufugiwa kwenu ndio huku! Sisi tunadhani tuko huru kumbe.........
 
Jaman eeeh, msipasue vichwa bure. Hii haijawahi kutokea tangu awam ya kwanza, ya pili wala ya tatu. Ni awamu hii hii ilosema, Maisha Bora kwa kila Mtz. Hapo kumetokea fursa ya ajira na wakakutana na kibopa mwanye nazo. Kawaambia, nibebeni mpaka kuleee tulipoliacha gari niwalipe hizoooo. Huoni wanavyo kimbilia wenyewe?
Mnapouliza kampuni iko wapi, mwataka nanyi kwenda kujiunga hapo?? Huyo mgeni kishaondoka, mngojeni mwakani tena. Hili ni janga la kitaifa, uchizi ndo fasheni hapa. Wawezaje weye kujitia utumwani mchana peupe? Ka ni hiyo mihela yake, ale mwenyewe ila si kunilipa kihivyo
 
Back
Top Bottom