Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Waziri kupitia mtandao wa kijamii wa X, amepiga marufuku wahudumu wa afya kuwalazimisha wajawazito kwenda kliniki wakiwa na wenza wao.
Ameandika
"Nimepokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wajawazito kuhusu kulazimishwa kwenda Kliniki na Wenza wao. Hali inayofanya wengine "wakodi" wenza.
Kwanini walazimishe? Huu ni udhalilishaji mwingine kwa wanawake.
Sisi watoa huduma za Afya Tutoe elimu na hamasa kwanini mwenza aende na sio kulazimisha."
Ameandika
"Nimepokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wajawazito kuhusu kulazimishwa kwenda Kliniki na Wenza wao. Hali inayofanya wengine "wakodi" wenza.
Kwanini walazimishe? Huu ni udhalilishaji mwingine kwa wanawake.
Sisi watoa huduma za Afya Tutoe elimu na hamasa kwanini mwenza aende na sio kulazimisha."