Huyu mwanaume mimi namwacha

CHONDE CHONDE Zinduna huyo akikuacha njoo kwangu mimi ni kijana mtulivu na mwenye adabu isipokuwa tu nimeishia la saba la mkoloni......
 
Last edited by a moderator:
HUKO KOTE UNAZUNGUKA TU MIMI NDIYE CHAGUO LAKO.....
SEMA NA MOYO WAKO KIMWANA Zinduna.....
 
Last edited by a moderator:
hakuna binadamu aliyekamilika, wote tunamapungufu....jitahidi sana kutumia saikolojia kutatua matatizo yako kwakumsoma mtu wako na si kufanya maamuzi fasta ambayo yanakuwa hayana tija kwani unaweza jikuta unakuwa na cv kubwa ya kuachana nawanaume. Pia, tatizo mabinti mnjielezaga sana juu ya mwanaume ambaye umewahi kuwa naye, hakuna kinachoboa kwa mwanaume kama kuelezea sana historia ya nyuma wewe umemsoma jamaa yako mpya then ukalimdhia kula mikausho namaisha yaendelee.
 
Mimi nasubiri Zinduna unyanyue hiyo APPLE ndio nitoe comment zangu

:A S 27::A S 27::A S 27: SLIM5, Kwi kwi kwi, yani badala ya kumsaidia Zinduna hapo unazidi kumpagawisha jamaa yake, jinsi alivyo na wivu pass word za demu wake zote anazo, sasa ngoja tusubiri tuone anavyokuja
 

Nimeipenda comment hii
Najuaga we unahamasisha migegedano tu
 
Nimeipenda comment hii
Najuaga we unahamasisha migegedano tu

asante....kweli mie naongeaga sana kuhusu kugegedana a weakness i really have to get over. ila one thing is for sure i know what it means being in a serious relationship na nataka siku nikiamua kuwa in one basi i will be commited to it mia mia
 
Atleast hujamfumania.ukimuacha uniambie niwe rafiki yako.na mimi nimeamia zanzibar
 
asante....kweli mie naongeaga sana kuhusu kugegedana a weakness i really have to get over. ila one thing is for sure i know what it means being in a serious relationship na nataka siku nikiamua kuwa in one basi i will be commited to it mia mia

All the best
Nimeangalia mara mbili mbili id..umekua tofauti sana leo. .again..all the best ukiamua kuwa committed
 
All the best
Nimeangalia mara mbili mbili id..umekua tofauti sana leo. .again..all the best ukiamua kuwa committed

well thanks i bliv kuwa nitapata tuu a decent lady and all shall be fyn ila drawback moja tuu na hili naona litafanya nisioe...sitaki mtoto
 
well thanks i bliv kuwa nitapata tuu a decent lady and all shall be fyn ila drawback moja tuu na hili naona litafanya nisioe...sitaki mtoto

Kwa nini hutaki mtoto?
Watoto ni blessing
 
Bidada no 1 z perfect..hapa 2mepata malalamiko yako 2 juu yake, hebu mlete huku na yey ajielez.
 
Zinduna hebu andika hii habari kwa mpangilio mzuri basi...

Weka paragraphs iwe rahisi kusoma kwa uzuri

Btw chapa lapa kama unaona umeshindwa kuvumilia wivu wa mpenzio

mbona imepangiliwa mkuu au ndio karekebisha tayari??
 
pole mwaya......... ila jitahidi kuongea nae kuwa apunguze hayo mambo na ajiamini... kachizika na wewe huyo...
 
Naomba kukuuliza swali dogo Zinduna
Kwa mfano ukiachana na huyo jamaa then ukatulia baada ya muda ukampata mwingine ambaye hatakua na tabia zinazofanana na huyu wa sasa, ila kwa bahati mbaya akawa na tabia mpya ambayo pia huipendi nae utamuacha? Na akaja mwingine nae ukamuacha
Utaacha wangapi??
 
charty huyu mwanaume habebeki na ni janga ka Boko Haram
Nishajisemesha mpaka basi. Ni mwepesi kuomba radhi, lakini habailiki.

Nitasubiri kama hatatokea mwanaume mwingine mwenye sifa angalau asilimia hamsini, bora nisiolewe

mwanamke kujiamini babu nimeku like bureeee
 
Last edited by a moderator:
Zinduna huyo jamaa ana gubu balaaa......

Hivi unazo khanga zimeandikwa wivu ni kidonda ukiushiriki utakonda? Hebu mvalie siku moja pengine msg itakua sent lol japo mie nna wivu ila huo too much wivu plus gubu na nongwa loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…