Huyu mwanaume mimi namwacha

Mwanaume wa hivyo hakufai

Ila mshauri akamwone mshauri nasaha amsaidie kuovwrcone inferiority complex aliyonayo

Pia ni Mtambuzi alitoa somo kuhusu wanaume wa hivyo... wafujaji kihisia.....

Sepa shosti


Tena akimbie haraka mana mijitu kama hii ikikuoa inaweza kataza hata usiende salimia ndugu zako.................
 
hahaha...sasa ngoja nije kukuoa ila mie wivu mia mia
Haa ha ha ha ha haaaaa......
Na wewe unayopenda kugegeda, si utanigegeda mpaka niseme hiki ni nini?
 

we ni muhuni, kwenda zako..!
 
wivu wakati mwingine ni kupenda kupindukia , zungumzeni hilo tatizo ili muishi pamoja
 
Mamaafacebook, huyu mwanaume kwa kweli nimeshindwana naye, na kwa kadiri nilivyompima sitoweza, nitajakufa kwa presha, miye bado ni binti mdogo wa 20s sijazeeka bado eh, na sina kasoro, kwa hiyo sina haraka miye
 
Last edited by a moderator:
Mamaafacebook, huyu mwanaume kwa kweli nimeshindwana naye, na kwa kadiri nilivyompima sitoweza, nitajakufa kwa presha, miye bado ni binti mdogo wa 20s sijazeeka bado eh, na sina kasoro, kwa hiyo sina haraka miye

Owh kumbe bas sawa
 
Last edited by a moderator:
Sifa kubwa ya mwanaume ni kujiamini, wivu unahusishwa kwenye mapenzi ya kweli ila usipitilize. Vilevile kuna swali apo, ivi kwenye mapenzi mwanaume nae uwa anadeka???
 
urafiki wa kawaida wa mabinti tena wa 20s na wananume kwangu kwangu ni ngumu kuamini.Yaani manzi wangu aniambie yule ni rafiki tu sitamwelewa maana hata mimi nina marafiki wa kike tu lakini ni michepuko ya kushibana.
wivu kwenye mapenzi muhimu
 
kifupi ni kwamba hiyu jamaa ameshajua hisia zako na udhaifu wako hivyo anaona anaweza kukupelekesha anavyopenda, ni vizuri kama mnapendana kwa dhati na mna malengo ya kuishi kama mume na mke mkae chini muelezana kila mtu ajue ni nini asichokipenda mwenzake ukiona hamna mabadiliko bora UANGALIE USTAARABU WAKO MAPEMA SHOSTITO
 
ikiwa vipi mpige chini huyo wa makunduchi....
 

Man..everything you've written makes a lot of sense. Couldn't agree more!
 

Hawezi kumuamini yeyote sababu mwanzo wa uhusiano wenu ni urafiki kwaiyo usitegemee ataendelea kukuacha una marafiki wa kiume wakija kumgeuka? na urafiki wa huo hakuna ndio maana ata nyie mmeishia katika mapenzi, pili huyo ana wivu ndio maana haishi kufanya comparison kati yake na hao wengine hii akiiendeleza itawasumbua sana mana sometime mnaweza gombana sababu ya mambo ya kale, 3. Kuwa makini sana na uhusiano huu maana huyu mtu anakujua in and out anaweza take advantage ya kukuumiza kutwa kwa kufanya reference ya maisha uliyopitia
 
Kama kweli umelelewa katika maadili ya dini basi jitahidi ata kubadilisha Avatar yako maana inawapa wakati mgumu watu wengine hapahapa ndani, weka picha ambayo inaendana na maadili ya dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…