Huyu mwanaume jamani!

Huyu mwanaume jamani!

wazazi walidai hawana pesa wajipange mpaka mwez wa saba sasa akakataa anasema wasaba mimba itakua kubwa itaoneka bora nitoe au nisubiri nijifungue ndo tungendoa
Hee! Wewe mwanamke! !!! Are you serious with your life
 
huyo mwanaume hajielewi, be strong mdadaa fungasha virago nenda kwa wazazi, utakufa siku si zako huko ohoooo!but pole my dear
 
Sijui lakini mm cjawai kuleta uzi zaidi ya huu unaohusiana na hili lakin tumekuwa tukigombana sana ananiambia nitoe mimba na leo asubuhi kanitumia ujumbe nimeze MICOPHEN-M-KIT mi nikamuambia siwezi wala sitarajii kutoa mimba kaniambia basi hana jinsi ya kunisaidia nitajua mwenyewe sababu nambishia anachotaka
hebu zinduka binti....huyo mwanaume hakujali wewe wala hicho kiumbe chenu kilicho tumboni mwako..hakupendi na alikuwa anakutumia muda wote huo im sorry to say that...hivi mtu anayekupenda,aliyekuposa atadiriki kukwambia maneno kama hayo eti ule dawa fulani utoe mimba au hawezi kukusaidia??..nadhani ur in so love and immatured huoni hata whats wrong,ukikua utakumbuka haya useme i was so stupid...but you know what in life we stumble and fall,and we raise up and move on, chukulia this is one of ur mistake learn from it!!...we achana nae shika yako na washirikishe wazazi wako....hakika watakusamehe kwa makosa yako....
OBS:usithubutu kutoa hio mimba!
 
^^
Hili suala linanipa maswali mengi kuliko majibu !! Anyway fuata shauri la wengi
^^
 
Huyo siyo mwowaji. Nenda kwenu kazae mtoto ni faida yako.
 
Kanipa mimba hataki kueleweka, katoa mahali nyumbani harusi ilikua mwezi wa 5 tangu nimemwambia ninamimba anarusha miezi mara wa 7 mara wa 10 sasa kasema mwaka kesho, wazazi wa pande mbili hataki wajue kama ninamimba mimi naishi kwangu wanza nlikua nafanya kazi sasa nimeachishwa sababu ya kuumwa umwa kutokana na ujauzito ananiambia nikae hukuhuku nyumbani wasijue chochote mpaka nijifungue ndo mipango ya harusi iendelee,sasa nishaurini nitakaaje huku sina ndugu sina kazi nitaishije na huu ujauzito kumbuka ni mimba ya kwanza nikipata matatizo hakuna wa kunisaidia na yeye yupo arusha,nifanyeje?

du pole lov.. wewe enda kwao wakakutunze ili akarushe hizo tarehe vizuri.. don suffer alone bwana... unaeza pata kabadilisha mawazo... muoaji hakushaur ukatoe mimba hata dkika 1, sasa hivi ushaanza mpoteza ila uki'terminate hyo mimba ndy anakukimbia ki1... chezea hawa viumbe wanaowaza kwa vichwa vidogo.
 
Pole sana bibie ila nikupeyako plus huyo coward guy wako..asijiachie kulipiwa mahari sio kijiachia kiivyohawa viumbe ni wazito inabidi ufanye kazi ya ziada cos hii imekaa mkao wa churahatujui plan zake

First ongea na shangzio bidada au yoyote unayehisi ana ushauri mzuri mweleze inn n out kuwa una ujauzitoyeye atawaeleza wazazi wako plus wazazi wa guy kama ndoa ifungwe or jamaa asemetatizo nini.yawezekana jamaa anataka kukuacha kitendo cha yeye kukutaka usisemekuwa makini waambie mapema hakawii kusema mimba si yake.
Take action usikae kimyawaambie mapema onana na ndugu zake hasa wazazi wajue khali yako

I support this one.. don't abort go to his parents... u never knw atabadil mawazo na ndoa ifungwe. wako watu walikana mimba zao but baadae waliwafata hao wanawake nabndy wake zao sasa hivi.
 
Ndio wewe uliambiwa utoe mimba? Kuna Uzi uliletwa humu maelezo yake yanaendana na haya . siwezi kuretrieve ule Uzi.

mh story yake kama inarelate na uzi niliuleta hum jamaa alinishauri nitoe mimba tho nilimdanganya nijue mustand wake... na hivi karibun alisika wenzie akisema dem wake anamimba then yupo arusha... mh. bt anyways napta tu.
don't abort mama
 
Mmmh sina usemi kwa kuwa ishatokea.
Ila sasa maisha yalivyo na hawa wanaume wapenda chee! Yaani some time hadi ndani ya ndoa mwanamke ndiyo uamue wanaume wengi hawapendi kuwajibika ila wachache sana.

Pole sana dadangu hapo msahada mkubwa ni nduguzo kwani uyo mwanaume hata si mumeo na wewe ndiyo wakuamua kumpa au lah.
 
Mbona maelezo yako yanafanana na uzi uliokuwepo humu, hadi kuhusu kuahirisha ndoa coz wazazi hawana pesa.
 
Pole jack,,,,,
Hapo naona kama hakuna ndoa vile...... pia kwani huwezi kuishi bila huyo kaka??? wakati unafanya kazi hukuwa una save??
Maisha haya hutakiwi kubembeleza sana na jifunze kusimama kwa miguu yako mwenyewe!.
 
Huwa najiuliza sipati majibu..watu wanasema furaha ya ndoa ni mtoto leo hii wanaotarajia kuoana wamebebshana mimba eti wanajishauri tena kuitoa..
Bidada na ukitoka kizazi ushindwe kuzaa baadae utalea wa wenzio..
Halafu isje kua ulibeba mimba ukajiaminisha itarahisisha ndoa kufungwa haraka....
 
Back
Top Bottom