mkonyezaji
Senior Member
- Jan 22, 2014
- 154
- 20
Uuuuwiiiiiiii
kanipa mimba hataki kueleweka, katoa mahali nyumban harusi ilikua mwez wa 5tangu nimemwambia ninamimba anarusha miez mara wa 7 mara wa 10 sasa kasema mwaka kesho...., wazazi wa pande mbili hataki wajue kama ninamimba mm naishi kwangu mwanza nlikua nafanya kazi sasa nimeachishwa sababu ya kuumwa umwa kutokana na ujauzito ananiambia nikae hukuhuku nyumbani wasijue chochote mpaka nijifungue ndo mipango ya harusi iendelee... sasa nishaulini nitakaaje huku sina ndugu sina kazi nitaishije na huu ujauzito kumbuka ni mimba ya kwanza nikipata matatizo hakuna wa kunisaidia na yeye yupo arusha...nifanyeje?
Aiseee nitake radhi kabisaaaaaa....na hivi nipo Arusha unajua wifi yako (yupo humu jeiefu) anaweza kufunga safari kuja kuhakikisha huenda hii stori inanihusu!!!
Aiseee nitake radhi kabisaaaaaa....na hivi nipo Arusha unajua wifi yako (yupo humu jeiefu) anaweza kufunga safari kuja kuhakikisha huenda hii stori inanihusu!!!
nipo mwanza pia mkuu,tuwasiliane nije kukushaurikanipa mimba hataki kueleweka, katoa mahali nyumban harusi ilikua mwez wa 5tangu nimemwambia ninamimba anarusha miez mara wa 7 mara wa 10 sasa kasema mwaka kesho...., wazazi wa pande mbili hataki wajue kama ninamimba mm naishi kwangu mwanza nlikua nafanya kazi sasa nimeachishwa sababu ya kuumwa umwa kutokana na ujauzito ananiambia nikae hukuhuku nyumbani wasijue chochote mpaka nijifungue ndo mipango ya harusi iendelee... sasa nishaulini nitakaaje huku sina ndugu sina kazi nitaishije na huu ujauzito kumbuka ni mimba ya kwanza nikipata matatizo hakuna wa kunisaidia na yeye yupo arusha...nifanyeje?
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Hehehehee nilishakutaka radhi kabla nikisema sina neno nawe ni mawazo tuu. Wifi popote ulipo humu jf uwe na amani nimefuta mawazo yaliyonijia na usemi nilioandika. Nisamehe mie usimnunie mentor.
Mie hata sikujua kama uko arusha nimeotea tuu.....
Sorry by ze wei
Na wewe kila analokwambia unafuata kama kondoo???
tarehe alipanga nwez wa tano baadae wazazi waksema hawana hela wajipange mpaka wa saba sasa yeye anasema itakua aibu sana sababu huo mwez wa saba tayar mimba itakua inamiezi 7 kwa hiyo itajulikana na kwao baba yake ni Askofu hivyo kukwepa aibu.
waambie nduguzo hali yako na kisha nenda arusha...
anaonekana hayuko siriaz na wewe
halafu ukute yumo humu jf anatoa ushauri pia