msinga msinga
Member
- Feb 28, 2014
- 5
- 1
Pole sana.mfate huko huko.
Ndio wewe uliambiwa utoe mimba? Kuna Uzi uliletwa humu maelezo yake yanaendana na haya . siwezi kuretrieve ule Uzi.
samahani kidogo swali langu ni je unajipenda?
Eeee makubwaa kama haelewek chomoa faster
Huo ndio utiifu au?
Huna kazi kwa sasa kwa nini usiende huko Arusha aliko then uongee naye achague kukuhudumia mkiwa under one roof mpaka ujifungue au akupeleke kwa wazazi wako mpaka ujifungue!!!!
Acha kucheza na maisha yako bint,uzazi wa siku hizi una complications sana.
Ndio kwanini?
Sasa nitaendaje wakati kaniambia nisipotoa mimba hana cha kunisaidia na kwa sasa hata msg zangu hajibu hata cm hapokei...ananiuliza umeshameza dawa
What????
Na bado una mpango wa kuolewa nae?
Nenda kwa wazazi wako bint,umekosa lakini watakusamehe tu.
Kalee mimba hiyo ukijifungua lea mtoto wako,huyo mwanaume hafai kuwa mume.
Anakushauri umeze dawa anajua effects zake? Kama hamkuwa tayari kuzaa kwa nini hamkutumia kinga? Au alijua sperm zake ni lotion zitakung'arisha ngozi tu?
Nawe ndio ujifunze sasa,sio aliyeleta posa tu hata kama amekuoa mwanaume usimuamini kwa 100%
Hili si suruhisho wanaume wote wanafanana, cha kufanya avumilie tu kama bibi yako alivyo mvumilia babu yako.
Sasa nitaendaje wakati kaniambia nisipotoa mimba hana cha kunisaidia na kwa sasa hata msg zangu hajibu hata cm hapokei...ananiuliza umeshameza dawa
Sijui lakini mm cjawai kuleta uzi zaidi ya huu unaohusiana na hili lakin tumekuwa tukigombana sana ananiambia nitoe mimba na leo asubuhi kanitumia ujumbe nimeze MICOPHEN-M-KIT mi nikamuambia siwezi wala sitarajii kutoa mimba kaniambia basi hana jinsi ya kunisaidia nitajua mwenyewe sababu nambishia anachotaka
Mkuu haja Olewa! !! Alikuwa waoane ila jamaa anarusha tarehe.Tofautisha kuoa na harusi.! Yawezekana huyu Dada ni wale ving'ang'anizi wa harusi ndo maana Jamaa katupiemo kitenesi. Huyu ameshaolewa na mahali kwao wameahakula, sioni anachosubiri kuhamia kwa Jamaa na mimba ameshapewa. Aafu bado kuna kazi unafukuzwa ukiwa mgonjwa?? Yawezekana huyu Dada ndio wale vijana wa kibongo typical! Story nyingi, ruhusa kila siku production zero. Kama ni hard worker hakuna bosi atakufukuza kisa mimba inakusumbua!!!