Huyu mwanaume anavyonisaliti vibaya

Huyu mwanaume anavyonisaliti vibaya

Nahisi kichwa chako kimejaa mchuzi badala ya ubongo...
Maana ungekuwa na ubongo hata wa mende tu...ungejiona jinsi gani ulivyo mjinga..
Kwa kifupi ngoja nikutoe gizani huyo jamaa amechoka kufua majinzi yake na kufagia na usafi kwa ujumla kwa hiyo anahitaji housegirl.....ambaye ni wewe apo...
HAKUNA KOSA KUBWA KATIKA MAHUSIANO KAMA KUTOKUWA MUAMINIFU....

mhhh sema wewe bora umeliona hilo.. hope aatafunguka macho...
 
Vumilia tu wanaume ndivyo tulivyo haturidhiki,hakuna mwanaume asie kua na michepuko duniani labda Bhanunu tu.

mbuuuta.. hata kama hamridhiki bt michepuko 6.. ?! hapana hyo mboo ni mali ya umma wala si ya wawekezaji wawil or watatu... . tchaa apumguze.
 
Last edited by a moderator:
mhhh ama kweli mm ni mwanamke nimeamin kale kamsemo wanawake waalim wetu vipofuuuuu...
hiv mtu unaanzaje kuwa mjinga kias hcho (am sorry for this) but doo shost unafaa ujiheshim hata kama anakupenda achague umalaya wake or wewe... tena unajipelwka kwake technically ataendelea tuu since anajua u r there like a faithful dog ... open your eyes not your legs mamaa. hata akikuletea watt hapo atakujib si ulinipenda nilvyo hayo ndo matunda.
but mayb mwenzetu ww mahaba niuwe n for this case u knw everything u ddnt even need to come here and ask for ushauri.
 
Michepuko 6?Hapo si mtaleteana magonjwa?maana hao michepuko nao wana michepuko yao.Aiseee mie hapo pangenishinda kuvumilia
 
Ngoja akuambukize mwanao abaki yatima inaelekea una low self esteem....
 
Hiv kuna wanaume ambao ni waaminifu toka kuzaliwa ameingia shimo moja tuu? Mbona mnamkatisha tamaa dada wa watu? In general hayo mambo number vyema kuangalia pande zote, ukiza kwa nn amekua na mchepuko wakati main road upo sio suala la akili mu kichwa, sijui piga chini ooh malaya no no nooo!

Mi nasema wewe kaa na mwenzako, ongea nae kwa upole tu ujue why anataka supplements je anakosa nn kwako? Hivi ukiachana nae enhee ukapata mwingine mkafunga ndoa then after 3years ana mchepuko utafanyeje?

Kukimbia tatizo sio kulisolve
 
mhhh ama kweli mm ni mwanamke nimeamin kale kamsemo wanawake waalim wetu vipofuuuuu...
hiv mtu unaanzaje kuwa mjinga kias hcho (am sorry for this) but doo shost unafaa ujiheshim hata kama anakupenda achague umalaya wake or wewe... tena unajipelwka kwake technically ataendelea tuu since anajua u r there like a faithful dog ... open your eyes not your legs mamaa. hata akikuletea watt hapo atakujib si ulinipenda nilvyo hayo ndo matunda.
but mayb mwenzetu ww mahaba niuwe n for this case u knw everything u ddnt even need to come here and ask for ushauri.

Duh mkuu unaeza ku-paraphrase hii comment? Nimetoka tupu, sijui uliandika too emotional au la
 
Hiv kuna wanaume ambao ni waaminifu toka kuzaliwa ameingia shimo moja tuu? Mbona mnamkatisha tamaa dada wa watu? In general hayo mambo number vyema kuangalia pande zote, ukiza kwa nn amekua na mchepuko wakati main road upo sio suala la akili mu kichwa, sijui piga chini ooh malaya no no nooo!

Mi nasema wewe kaa na mwenzako, ongea nae kwa upole tu ujue why anataka supplements je anakosa nn kwako? Hivi ukiachana nae enhee ukapata mwingine mkafunga ndoa then after 3years ana mchepuko utafanyeje?

Kukimbia tatizo sio kulisolve

Yes kanisani kwetu wapo god fearing men hayo ya shimo wanayasubiri mpk ndoani usitetee umalaya huyo kaka ana MICHEPUKO sio mchepuko usitake kumfanya dada wa watu afeel guilty kuwa labda kuna mahali kakosea wkt ni umalaya tu wa huyo kaka.....lets face it km vile baadhi ya wanawake wasivyofaa kuolewa pia kuna wanaume sio husband material,dada chapa lapa tena speed180 lols
 
Kama ametoa mahari mwaka jana,kwa nini hamjafunga ndoa mpaka leo. Shida ni nini hasa? Uchumba gani unakaa zaidi ya mwaka?!!!

Ona sasa ushabeba mimba na jamaa kuoa hataki. Ningekuwa mimi ni kaka yako ningekushauri uchukue maamuzi magumu. Kila la kheri hata hivyo ila ndoa hakuna hapo.
 
Nimekushangaa kweli pamoja na michepuka 6 bado ukabeba na mimba!!!!!
 
Nahisi kichwa chako kimejaa mchuzi badala ya ubongo...
Maana ungekuwa na ubongo hata wa mende tu...ungejiona jinsi gani ulivyo mjinga..
Kwa kifupi ngoja nikutoe gizani huyo jamaa amechoka kufua majinzi yake na kufagia na usafi kwa ujumla kwa hiyo anahitaji housegirl.....ambaye ni wewe apo...
HAKUNA KOSA KUBWA KATIKA MAHUSIANO KAMA KUTOKUWA MUAMINIFU....

nimeipenda hii
na km anakubali kuolewa ntamuona mjinga sana kia ndoa au?
utaolewa tuuu mi dadangu ana two kids na jumamosi anapanda altareni
jitoe fahamu uje kujutaa
we mpuuzi kweli we dada
 
Yaani una mwanaume si mwaminifu na misururu ya wanawake sita bado ukampanulia bila hata condom? How dare you risk your life that simple ? Ungekuwa dada yangu ningekupa neno moja usingelisahau. Usikaribishe HIV kirahisi namna hii. Hivi ulishashuhudia ndugu au rafiki au hata jirani mwenye VVU anavyotamani wengine wasipate? Ingia ucheze ndipo ujue utamu wake. Take my words leave them is up to you.!!!
Yani umeongea just my thoughts
Mi huwa sikatai kifo kipo ila kama kuna njia ya kujiepusha basi jaribu kuliko kuanza kujuta baadae ndio maana kuna seatbelts kwnye magari

UKIMWI upo if you have the choice and ways of protecting yourself just do it
Mtoa mada binafsi naweza mquote maya angelou "Never make someone a priority when all you are to them is an option
2.I do not trust people who don't love themselves and yet tell me, 'I love you.' There is an African saying which is: Be careful when a naked person offers you a shirt.

Huwezi kumpenda mtu kama wewe mweywe hujipendi

Naweza kujieka kwenye nafasi yako sasa na kuelewa jinsi ilivyo ngumu kuwa na mimba na kutokua na mzazi mwenzako sali sana uweze kupata ujasiri na hekima ya kujua nini cha kufanya
 
mh! Miaka mitano uliyokaa na huyo mtu ulikuwa unaona kila dalili ya ubazazi ila ukawa unavumilia au kuona ni mambo madogo. Sasa uvumilivu wako umefika mwisho au jamaa kazidisha attention kwa mchepuko, ile unafikiria kuondoka ndo unajikuta na ujauzito. Ukitaka kuanza safari ukakuta mbele kuna jiwe unashuka unaliondoa, si unarudi ulikotoka. Hapo we shukuru tu umempata huyo mtoto, kaa kwenu, jipangeni kulea kila mtu akiwa kwake. Huyo kicheche HABADILIKI. Kitendo cha kukaa kwenye mahusiano mda mrefu, kutoa mahari na kukaa mda mrefu bila kuoa, na kutaka uhamie kwake bila ndoa ni dalili kuwa huyu mtu ana committment phobia, na wewe una ka-low self esteem flani. Nina hakika ni mara nyingi huyu alishataka kukuacha ila ukawa hutaki kukubali, au mnaachana na kurudiana mara kwa mara. Anaweza akawa anakupenda ila kashindwa au hataki kudhibiti tabia zake. Mapenzi peke yake hayatoshi kufanya uhusiano mzuri. Mtu anaweza kuwa na mema 99% ila akawa na 1% ya udhaifu ukawa na athari kubwa kwenye mahusiano kama huo ubazazi wa shemeji yetu. Kaa kwenu maana mtu mwenyewe hata kukuoa hataki anataka mkae pamoja tuuuu milele kama mlivyokaa miaka 5! Utakuwa unaondoka na kurudi kila siku. Hala hala. Ukiendekeza mahaba niue basi "enter at your own risk".
 
Siku zote mimi naamini utayari wa kuingia kwenye ndoa unatoka moyoni mwako na wala si kwa mtu mwingine. Acha kupenda usipopendwa na hilo ndio kosa kubwa tunalolifanya wanadamu hasa linapokuja suala la ndoa. Usikilize moyo wako uache ufanye maamuzi ili kesho na kesho kutwa usije ukaanza kulia. Jiulize swali moja kwanza kwa nini anakusaliti kila siku, acha kupelekeshwa na hisia za ngono maana ndoa ni zaidi ya ngono
 
Tulia magotini mwombe Mungu na ukae nae umweleze hizo disappointment na jinsi unavyompenda
 
Back
Top Bottom