Huyu mwanaume anavyonisaliti vibaya

Huyu mwanaume anavyonisaliti vibaya

Nna mwanaume tumekaa mwaka wa 5 huu na sasa nna ujauzito miez mitatu. Tatizo lake amekuwa akinisaliti kila mara...ana wanawake km 6 hv tofauti na kibaya zaid anataka tuanze kuishi wote sababu home pia wamekubali...mwaka jana ndio ametoa mahari hivyo sasa anataka tukae pamoja tulee pamoja. Tatizo nawaza je..hv na yote machafu ya kuwa na wanawake wengi pembeni nikikaa nae ndio atatulia kulea mimba au ni bora kukomaa kuishi kwetu na wazazi wangu?

Sasa kama angeona michepuko ya maana kuliko wewe asinge kuhitaji wewe nyumbani kwake na asingekuoa. Hivyo ni wazi kabisa wewe ni wa muhimu kwake kuliko hao michepuko. Na kama unauhakika kua hao wanawake sita wanatembea na mumeo basi mwambie kua unajua hivyo achague kuachana na hiyo michepuko. Everyone deserves a second chance in life, so give him a second chance.
 
Michepuko 6 kwa wakati moja?? heh! kuna watu wapo vizuri mim moja tu nafkria naanzaje, hivi lkn anatafuta nini kwote huko mbona papuchi ni zile zile tu
 
Hao wanawake amekuwa nao kwasababu ya gap ya wewe kuwa mbali. Msiwe mnatuhukumu bila resoning. Wala usimlaumu hamia kwake halafu mwambie ukweli kwamba unajua yote ila ajitune sasa kuwa ni baba na alichokuwa akitafuta nje sasa kipo ndani full time. Ila wewe sasa uongeze ubunifu wa huduma ndani ili mwenzio aridhike na afute wengine akilini. Siyo unanukia mikojo ya mtoto hujui kujisafisha, unahoji mambo kama polisi na mtuhumiwa ukitegemea kufurahia ndoa. Kuwa mvumilivu ndoa inajengwa siyo automatic.

ndio wafike sita?

na wasiojulikana pia?

huyo ni malaya wala hajiheshimu.
 
mwanaume huwa habadiliki maisha yake yote.. alivyo leo ndivyo atakavyokua siku zooote labda apate UKIMWI ndo akili itamsogea. kiukweli kosa la kuchepuka halafu nikajua halina msamaha kwangu.. we ukichepuka nikajua pita hiviiiii na usinijue. jufunze kuwa na msimamo binti
 
Urafiki wa kuzini miaka mitano? Uchumba sugu wa mwaka mmoja?
Hiyo engagement �� ring haijaota kutu?

Na bado unahibebesha mimba kwa kidume asiyeridhika na mwanamke mmoja? Sasa mwenye akili nani hapo?

Nna wasiwasi hata wewe sio mwaminifu katika mahusiano...ndio maana ilikuwa rahisi kwako kuishi na mtu miaka mitano huku ukijuani mdanganyifu...!
 
mkuu mshana jr kukaa miaka miaka mitano sio hoja pengine walianzia form 3.

Mkuu mwanga lutila umemjibu vizuri! Siku hizi matoto yanaanza ngono yakiwa na umri mdogo mno, juzi hapa kuna mdogo Wangu kanipigia simu analia toto lake la darasa la 6 limepiga mimba Mtoto Wa watu, eti anataka aje alifiche kwangu, nikamwambia huko huko!!! Sasa mshana jr anashangaa miaka 5 kwenye mahusiano? Fikria hilo la drs la 6 si lina miaka 12?
 
Last edited by a moderator:
endelea tu kakaa kwenu, nigekuwa mimi kaka yako lazma nigekugegeda.

Nakushauri ndugu yangu kuwa,, naomba busara na hekima vikutawale kuliko kitu kingine chochote. itakusaidia sana.
 
Nna mwanaume tumekaa mwaka wa 5 huu na sasa nna ujauzito miez mitatu. Tatizo lake amekuwa akinisaliti kila mara...ana wanawake km 6 hv tofauti na kibaya zaid anataka tuanze kuishi wote sababu home pia wamekubali...mwaka jana ndio ametoa mahari hivyo sasa anataka tukae pamoja tulee pamoja. Tatizo nawaza je..hv na yote machafu ya kuwa na wanawake wengi pembeni nikikaa nae ndio atatulia kulea mimba au ni bora kukomaa kuishi kwetu na wazazi wangu?

Vumilia tu wanaume ndivyo tulivyo haturidhiki,hakuna mwanaume asie kua na michepuko duniani labda Bhanunu tu.
 
Last edited by a moderator:
Nna mwanaume tumekaa mwaka wa 5 huu na sasa nna ujauzito miez mitatu. ..kibaya zaidi anataka tuanze kuishi wote sababu home pia wamekubali...mwaka jana ndio ametoa mahari hivyo sasa anataka tukae pamoja tulee pamoja.


Ndoa sio lelemama na siyo ya kujaribiwa..... Ukianza kukaa pamoja na mtu basi uue tayari umeolewa na kama anakuudhi sasa basi mkiwa pamoja zidisha maudhi mara 10... Kama ulijua sasa ana wanawake 6.. mkiwa pamoja utajua ana wanawake 12...Kwa mtazamo wangu familia yako imechemsha kuchukua mahari mapema na kuwaacha wenyewe hata hamjajuana mnaendelea kufanya mapenzi hadi sasa una ujauzito usio na uhakika wa kulelewa na mume aliyetulia.
 
mwanaume huwa habadiliki maisha yake yote.. alivyo leo ndivyo atakavyokua siku zooote labda apate UKIMWI ndo akili itamsogea. kiukweli kosa la kuchepuka halafu nikajua halina msamaha kwangu.. we ukichepuka nikajua pita hiviiiii na usinijue. jufunze kuwa na msimamo binti

Hebu nisaidie kumuelimisha mwanamke mwenzio...yaani michepuko...then bado anaomba ushauri....nadhani anatumia matiti kufikiri
Maana hiliihitaji wala degree kujua ujinga ulionao...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hebu nisaidie kumuelimisha mwanamke mwenzio...yaani michepuko...then bado anaomba ushauri....nadhani anatumia matiti kufikiri
Maana hiliihitaji wala degree kujua ujinga ulionao...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

mwenzio ana mahaba nigaragaze unadhani atanielewa kweli mkuu???
 
Nakushauri ndugu yangu kuwa,, naomba busara na hekima vikutawale kuliko kitu kingine chochote. itakusaidia sana.

ukiwa unamanisha kwamba wewe una busara zaidi kuliko mimi? au.
 
endelea tu kakaa kwenu, nigekuwa mimi kaka yako lazma nigekugegeda.

Shyland you deserve a life ban,binti wa watu anaomba counselling kwa tatizo kubwa alilonalo wewe unaleta dharau hapa eti ungekuwa kaka yake ungemgegeda,kivipi? this shows that, hata dada zako umeshawagegeda wote,mi nilidhani una hekima kumbe hovyo,ndo ushamba wenu wasukuma nilisema.
 
Shyland you deserve a life ban,binti wa watu anaomba counselling kwa tatizo kubwa alilonalo wewe unaleta dharau hapa eti ungekuwa kaka yake ungemgegeda,kivipi? this shows that, hata dada zako umeshawagegeda wote,mi nilidhani una hekima kumbe hovyo,ndo ushamba wenu wasukuma nilisema.
wiseboy jukwaa lina mengi na kuna mengi hatuyafahamu inawezekana kabisa Shy land kapotoka mahali nasubiri aseme lolote la sivyo tutachukulia amemaanisha alichokisema
 
Last edited by a moderator:
ningekuwa mimi ningekaa kwetu na mimba yangu na ningemuacha aendelee na maisha yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom