Huyu mwanaume anavyonisaliti vibaya

Huyu mwanaume anavyonisaliti vibaya

Michepuko 6? Na wewe wa 7? Na hao sita ndio umepata kismati cha kuwafahamu duh!! Kama kwako hakuwa anatumia condom hadi umenasa vp huko kwingine? Tunasafari ndefu sana ya kupambana na ngoma. Em kapime kwanza.

Sio akapime akaanze dozi kabisa....
 
Kuchepuka karibia kila mwanaume anachepuka. Ila sisi wanaume tumetofautiana. Kuna sisi ambao tunachepuka huku tukiakikisha mke/wapenzi wetu hawafahamu kwa kujificha sana na kuna wengine kama huyo jamaa yako ambao anaona powa tu. Watu kama jamaa yako hawana maendeleo, wao ni kuendekeza tu na hata wakipata pesa zinaisha kwa umalaya. Kwa kifupi, achana naye. Waeleze wazazi wako, jamaa akilea mimba poa tu, akilea mtoto hewala. Swali, kabla ya kubeba mimba ulizifahamu tabia zake?
 
Wanawake akili zenu sijui mmeshikiwa na nani!!!!!

Miaka 5 janaume malayaaaaaa bado umo tu??? Unajifariji ukikaa nae atatulia???? Kweli???
 
Nna mwanaume tumekaa mwaka wa 5 huu na sasa nna ujauzito miez mitatu. Tatizo lake amekuwa akinisaliti kila mara...ana wanawake km 6 hv tofauti na kibaya zaid anataka tuanze kuishi wote sababu home pia wamekubali...mwaka jana ndio ametoa mahari hivyo sasa anataka tukae pamoja tulee pamoja. Tatizo nawaza je..hv na yote machafu ya kuwa na wanawake wengi pembeni nikikaa nae ndio atatulia kulea mimba au ni bora kukomaa kuishi kwetu na wazazi wangu?

Pole dear, leo hii umeamua kunianika jamvini?
 
Wanawake akili zenu sijui mmeshikiwa na nani!!!!!

Miaka 5 janaume malayaaaaaa bado umo tu??? Unajifariji ukikaa nae atatulia???? Kweli???

Je umemuuliza huyu mwanamke yeye binafsi anao wangapi?maana huenda anamvumilia kwa sababu naye ana sehemu ya kupumzikia

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Maswali kwako
una miaka mingapi?
na yeye ana miaka mingapi?
mlikutana wapi?
tuanzie na hapo kwanza? maana isije mwanaume mwenyewe ana miaka 21
 
Maswali kwako
una miaka mingapi?
na yeye ana miaka mingapi?
mlikutana wapi?
tuanzie na hapo kwanza? maana isije mwanaume mwenyewe ana miaka 21

.....Bado kinadinda tangu alfajiri, akiona hata mkunjo wa chupi kwenye jeans anachanganyikiwa
Lakini inaelekea ni mkubwa kwakuwa wameshakaa kwenye mahusiano kwa miaka 5
 
Wewe yaan uthibitisho unao mkononi ila unajitia upofu wa macho kutoona....mwanaume ukishindwa kumbadili kabla usifikir ukiingia ndoani utaweza...tabia n.kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili...wewe huyo hawez tulia jali afya yako michepuko sita unadhani yupi mzima.hapo???? Hii cheni uliyojiingiza anza kujitoa mapema
 
watu tunabadilika mkuu,nikikupa historia yangu nlivikua bazazi na nlivo sasa hutoamin,life is change
 
pole sana nahisi kama uliulazimisha moyo wake kukupenda
 
Hao wanawake amekuwa nao kwasababu ya gap ya wewe kuwa mbali. Msiwe mnatuhukumu bila resoning. Wala usimlaumu hamia kwake halafu mwambie ukweli kwamba unajua yote ila ajitune sasa kuwa ni baba na alichokuwa akitafuta nje sasa kipo ndani full time. Ila wewe sasa uongeze ubunifu wa huduma ndani ili mwenzio aridhike na afute wengine akilini. Siyo unanukia mikojo ya mtoto hujui kujisafisha, unahoji mambo kama polisi na mtuhumiwa ukitegemea kufurahia ndoa. Kuwa mvumilivu ndoa inajengwa siyo automatic.

Safi ushauri mzuri.
 
usimshauri mtu kwakuwa tu wewe niwa jinsia moja na huyo anayechepuka!. hata kama huyo dada angekuwaa sayari nyingine ndo awe na michepuko sita wewe dada kama unataka kufa na presha+ukimwi olewa sio lazima uolewe tu kwakuwa una mimba yake.

mchepuko mmoja haujamridhisha wewe ndo utaweza. kuna tabia akiwa nazo mwanaume huwezi mbadilisha kama ulevi,umalaya n.k

Aoulewe Mara ngapi? Amesha kwambia mahari jamaa Alisha kabidhi. Kila mmoja ana nafasi ya kubadilika katika maisha yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom