Siku ukikutana na rass jeff kapita na ukabaina hana rasta/dredi... but ana upara kichwa chote unan'gaa kama kioo...ndio utabaina kwamba JF kuna majini sio watu....!Kweli kabisa kakaa angu... Watu wapo tofauti sana. Unaweza kukukuta wengine ni mawaziri, masheikh na wachungaji humu ndani. Ukija kugundua zero IQ ni kiongozi wa dini utashangaa sana.
Kubishana au kuongea live live yataka moyo wa ujasiri...Humu mtu unaandika chochote nipo peke angu namuogopa nani?mimi humu ndani ni mbishi haswa
Ila nje mtu hata akiniambia 1+1=8
Namwambia you are absolutely right
Nothing. Hata wewe una online personality and your real world personality ukubali au usikubali. I am talkin
Hizo observations ni purely subjective, in fact kwa vigezo ulivyotumia, hata wewe una online personality and your real world personality ukubali au usikubali. Kuhusu uwepo wa majini, hayo yapo kwenye himaya (realm) ya waumini wa Uislamu tu kama kitabu chenu kinavyowafundisha.
Sawa kabisa unaweza kukuta humu unaandika vitu vyenye akili hatari...but huko nje ukawa mjinga mjinga tu.... yote yanawezekana....Mimi mwenyewe ukisoma ninayoyaandika humu na ukikutana nami utashangaa.
JF ni kama socail media zingine tu. Mtu anakuonesha kile ambacho anataka wewe uone.
By nature mi ni mpole na introvertkubishana au kuongea live live yataka moyo wa ujasiri...Humu mtu unaandika chochote nipo peke angu namuogopa nani?
Ila tutakapokuatana sasa ndio hapoo shida inapoanzia..
Huyo ni GENTAMYCINE bila shaka
Kawaulizekama yapo katika himaya ya kislamu mbona wanao kwenda ni wengi makafiri wana majini mapepo kwa wachungaji na manabii wa made in china ili watolewe mapepo ( hao nao ni waislamu)