Huyu Mwanaume ana Two Personalities

Bi Khadija

Member
Aug 20, 2018
79
237
Kiukweli nmeshangaa sana. Ni mmoja ya watu ambao miaka mingi nmekuwa niki wa admire sana humi JF. hasa kwa stories zake na vituko mbalimbali.

Jana nlipata nafasi ya kukutana naye kupitia kwa rafiki yangu. Tulikaa sehemu wakawa wao wanaongea nami nmetulia tu. Nina mtu ambaye namfaham humu JF ambaye amekuwa akiandika makala za kuelimisha sana.

It was lunch time mimi sababu ni ramadhani sikula kitu lakin nlihudhuria meeting sababu ilikuwa na manufaa pia kwangu.

Baada ya kuagana sikuamini aliponiuliza "sister unamfahamu yule kaka tuliyekuwa tunaongea naye?" Nlimjibu simfaham. Akanambia ni .......

Wallah... Nilikataa mpaka mwisho. The man wa so different. Mpole mwenye aibu kiasi. Na anaongea kwa utulivu tofauti na alivyo humu ndani. Humu nampenda kutokana na stories zake zs utundu mwingi na mikasa mbalimbali aliyokutana nayo katika maisha.

Lakini jana nlimwona mtu mmoja wa tofauti kabisa ambaye si kama ambavyo nlitegemea awe. Nadhani huyu jamaa ana multiple personalities. Si wa kawaida. Nmeogopa sana na kuwaza haya mambo yapo. Haiwezekani awe tofaut kabisa na kile ambacho huandika.

Humu ndani tusiaminiane sana rafiki zangu na kaka zangu. Some people sivyo wanavyoonekana. Nina wasiwasi hata majini yatakuwemo humu.
 
Popote zinapotumika fake IDs usiwaamini sana watu,wengine utaona anajisifu ana maisha mazuri sana ila in reality anaishi maisha magumu sana.

Wengine wanajifanya wanaume sana humu kumbe huko mitaani ni mahani.thi kiufupi alimradi kila mtu ana-act,muhimu enjoy tu kusoma wakati mwengine chukua yale utakayoona ya muhimu.
 
Kweli kabisa kakaa angu... Watu wapo tofauti sana. Unaweza kukukuta wengine ni mawaziri, masheikh na wachungaji humu ndani. Ukija kugundua zero IQ ni kiongozi wa dini utashangaa sana.


Popote zinapotumika fake IDs usiwaamini sana watu,wengine utaona anajisifu ana maisha mazuri sana ila in reality anaishi maisha magumu sana.

Wengine wanajifanya wanaume sana humu kumbe huko mitaani ni mahani.thi kiufupi alimradi kila mtu ana-act,muhimu enjoy tu kusoma wakati mwengine chukua yale utakayoona ya muhimu.
 
Jini Bujibuji huyo.
Kiukweli nmeshangaa sana. Ni mmoja ya watu ambao miaka mingi nmekuwa niki wa admire sana humi JF. hasa kwa stories zake na vituko mbalimbali.
Jana nlipata nafasi ya kukutana naye kupitia kwa rafiki yangu. Tulikaa sehemu wakawa wao wanaongea nami nmetulia tu. Nina mtu ambaye namfaham humu JF ambaye amekuwa akiandika makala za kuelimisha sana.
It was lunch time mimi sababu ni ramadhani sikula kitu lakin nlihudhuria meeting sababu ilikuwa na manufaa pia kwangu.
Baada ya kuagana sikuamini aliponiuliza "sister unamfahamu yule kaka tuliyekuwa tunaongea naye?" Nlimjibu simfaham. Akanambia ni .......
Wallah... Nilikataa mpaka mwisho. The man wa so different. Mpole mwenye aibu kiasi. Na anaongea kwa utulivu tofauti na alivyo humu ndani. Humu nampenda kutokana na stories zake zs utundu mwingi na mikasa mbalimbali aliyokutana nayo katika maisha.
Lakini jana nlimwona mtu mmoja wa tofauti kabisa ambaye si kama ambavyo nlitegemea awe. Nadhani huyu jamaa ana multiple personalities. Si wa kawaida. Nmeogopa sana na kuwaza haya mambo yapo. Haiwezekani awe tofaut kabisa na kile ambacho huandika.
Humu ndani tusiaminiane sana rafiki zangu na kaka zangu. Some people sivyo wanavyoonekana. Nina wasiwasi hata majini yatakuwemo humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom