Kuna biashara kubwa sana sasa hivi kwenye mifuko mbadala, ukumbuke pia biashara ya unga wameichukua wao, wale wauzaji wa zamani wanewekwa ndani na wengine wamepigwa mkwara waache hiyo biashara.Hana hata miaka mitano kwenye mainstream politics. Hakuna biashara yeyote anayofahamika kufanya. Mshahara wake ndani ya hii miaka mitano hauwezi nunua hata moja ya magari ya kifahari anayo miliki. Kutwa anagawa pesa kama zawadi. Hapo jana tu amegawa mamilioni ya pesa kwa timu ya mpira. Anaandaa buffet za bei ghali sana na mikato pia ndani ya kumbi za bei ghali sana (Mlimani City). Ila cha kushangaza hakuna anejua chanzo cha pesa ya huyu jamaa!!!!!!
Ni kiongozi lazma ajadiliwe, tusipomjadili kwa mienendo yake..., Tunazaa taifa la watu wasio na uwezo wa kuhoji...Achana naye mkuu..jali yako
Ni kiongozi lazma ajadiliwe, tusipomjadili kwa mienendo yake..., Tunazaa taifa la watu wasio na uwezo wa kuhoji...
Ofisi ya RAS haina pesa ya kufanya haya yote anayofanya yeye hata siku moja, maana hata mafuta ya gari Mara nyingi budget haitoshi gari huwa zinahudumiwa na mkurugenzi wa jiji,..yeye anapata wapi hizi pesa?
Ni bora kupiga kelele kuliko kunyamaza, ofisi yake Kuna mda inakosa pesa ya kulipia umeme TANESCO, hizi yeye anatoa wapi?Kwa Seikali hii unadhan kun mtu arKussikiliza mkuu??bora ya Jk


Ndio hao wanatoa zawadi za mamilioni ya pesa kwa timu za mipira na ftari kwa tuliofunga na mambo kama hayoWatu wa aina hii wapo kweli?
Mkuu Makonda kawarecruit vijana wengi hapa jamiiforum hasa baada ya kashifa ya Vyeti,na kuna sehemu huwa wanakutana napajua na group la WhatsApp wanalo.Makonda skuiz anawatetez balaaaa
Asante mkuuAchana naye mkuu..jali yako
KUMBE !!Rushwa zote kubwa kubwa zinapitia kwake.
nanukuu "mheshmiwa Spika msiniundie kamati kunihoji hizi pesa natoa wapi,, pesa zote zilizopo humu ndani ni zangu,, mimi sina pesa ila wananchi wana pesa,,'' mwisho wa kunukuu
Ni wivuHana hata miaka mitano kwenye mainstream politics. Hakuna biashara yeyote anayofahamika kufanya. Mshahara wake ndani ya hii miaka mitano hauwezi nunua hata moja ya magari ya kifahari anayo miliki. Kutwa anagawa pesa kama zawadi. Hapo jana tu amegawa mamilioni ya pesa kwa timu ya mpira. Anaandaa buffet za bei ghali sana na mikato pia ndani ya kumbi za bei ghali sana (Mlimani City). Ila cha kushangaza hakuna anejua chanzo cha pesa ya huyu jamaa!!!!!!