Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,636
Hana hata miaka mitano kwenye mainstream politics. Hakuna biashara yeyote anayofahamika kufanya. Mshahara wake ndani ya hii miaka mitano hauwezi nunua hata moja ya magari ya kifahari anayo miliki. Kutwa anagawa pesa kama zawadi. Hapo jana tu amegawa mamilioni ya pesa kwa timu ya mpira. Anaandaa buffet za bei ghali sana na mikato pia ndani ya kumbi za bei ghali sana (Mlimani City). Ila cha kushangaza hakuna anejua chanzo cha pesa ya huyu jamaa!!!!!!