Huyu mwanamke simwelewi

Huyu mwanamke simwelewi

mtumie uyo rafiki yake alye kuwa anamsimulia akufanikishie mambo
 
Una kama mwaka umeajiriwa, then una mwaka hujakubaliwa!!!!!
Ulitakiwa usubiri aingie King mwenyewe
 
Hongera kwa kusifiwa u handsome boy... Nadhani ndo point ya msingi hii ulitaka tufaham
 
Nimeajiriwa kwenye kampuni moja yapata mwaka sasa..kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana ila nikawa naogopa kumwambia kwani binti mambo safi ni mtu anajiweza anamiliki harrier lexus..sasa kuna siku nimechelewa kutoka ofisini wakati natoka nikasikia akipiga story na mwenzake akimwambia jinsi gani ananikubali alienda mbali zaidi na kunisifia kuwa hajawahi kumwona kk handsome kama mm(wakati akiongea maneno haya hakuniona) basi kidume nikapata ujasiri wa kumtongoza..mpka napoandika hii message yapata mwaka sasa huyu dada hajanikubalia ananionyesha matumaini tu ila sijawahi kukubaliwa....sijui nafanyaje jamani
achana naye fanya issue zako huo muda unaopoteza utakuja kujuta!
 
Nimeajiriwa kwenye kampuni moja yapata mwaka sasa..kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana ila nikawa naogopa kumwambia kwani binti mambo safi ni mtu anajiweza anamiliki harrier lexus..sasa kuna siku nimechelewa kutoka ofisini wakati natoka nikasikia akipiga story na mwenzake akimwambia jinsi gani ananikubali alienda mbali zaidi na kunisifia kuwa hajawahi kumwona kk handsome kama mm(wakati akiongea maneno haya hakuniona) basi kidume nikapata ujasiri wa kumtongoza..mpka napoandika hii message yapata mwaka sasa huyu dada hajanikubalia ananionyesha matumaini tu ila sijawahi kukubaliwa....sijui nafanyaje jamani
HUWEZI KUIMBISHA MWAKA MZIMA UNAFUKUZIA DEMU?
NTAFUTE NIKUPE MISTARI YENYE VINA
 
Mualike dinner weekend ijayo sehemu iliyotulia na yenye mandhari ya kuvutia na ufanye mtongozo wa nguvu wakati mnajichana kuanzia appetizer, meal kisha dessert. Kila la heri usisahau mrejesho.

Nimeajiriwa kwenye kampuni moja yapata mwaka sasa..kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana ila nikawa naogopa kumwambia kwani binti mambo safi ni mtu anajiweza anamiliki harrier lexus..sasa kuna siku nimechelewa kutoka ofisini wakati natoka nikasikia akipiga story na mwenzake akimwambia jinsi gani ananikubali alienda mbali zaidi na kunisifia kuwa hajawahi kumwona kk handsome kama mm(wakati akiongea maneno haya hakuniona) basi kidume nikapata ujasiri wa kumtongoza..mpka napoandika hii message yapata mwaka sasa huyu dada hajanikubalia ananionyesha matumaini tu ila sijawahi kukubaliwa....sijui nafanyaje jamani
 
Ungeweka kapicha kako tukathibitisha kama kweli wewe ni hendisamu isije ikawa huyo demu ni bingwa wa rivasi
 
we wa wapi ndugu? hv maisha aya kuna kijana anayefukuzia dem mwaka? inaonekana huna kazi za kufanya ww
 
huon kama unatutia aibu watoto wa kiume wenzio? dem gan wa kufukuzia mwaka mzima ?
 
Madem n wengi unapoteza muda tu na huyo achana naye demu anatongozwa mara 3 tu ya kwanza unajenga mahusiano ya 2 unamwambia hitaji lako ya 3 unafanyia kazi ya 1 na ya 2 kwisha
 
Nimeajiriwa kwenye kampuni moja yapata mwaka sasa..kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana ila nikawa naogopa kumwambia kwani binti mambo safi ni mtu anajiweza anamiliki harrier lexus..sasa kuna siku nimechelewa kutoka ofisini wakati natoka nikasikia akipiga story na mwenzake akimwambia jinsi gani ananikubali alienda mbali zaidi na kunisifia kuwa hajawahi kumwona kk handsome kama mm(wakati akiongea maneno haya hakuniona) basi kidume nikapata ujasiri wa kumtongoza..mpka napoandika hii message yapata mwaka sasa huyu dada hajanikubalia ananionyesha matumaini tu ila sijawahi kukubaliwa....sijui nafanyaje jamani
Hivi bado kuna kutongozana siku hizi??
Vitendo vinaongea zaidi baba.
Nenda taratibu na strategically.
Ulitakiwa uanze kumuonesha vitendo kabla ya kuanza kumtongoza.
Kuwa karibu naye zaidi na mwisho utakula tunda kimya kimya.
Mambo ya kusubiria ujibiwe nimekukubali yalishapita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom