[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duh huyo yuko kimaslahiBehind the camera,
Hii imenikumbusha hadithi ya rafiki yangu! Yeye alimpenda mrembo mmoja aliyekuwa akifanya kazi katika bar moja. Kadiri ya huyu rafiki yangu, ambaye kaoa, alitaka amchombeze huyu mrembo! Alianza kumtongoza lakini ikawa shida kukubaliwa. Kapewa sharti, ili apewe tunda basi ampe mtaji ili aanzishe biashara yake mwenyewe! Jamaa yangu yuko njia panda!
Ndio maana yake mkuu. Mi sikumtaka Kwa malengo yoyote zaidi ya kutaka huduma tu
Vurugu tupu! Unatupa taarifa kwamba bint wa miaka 19,ulitaka KUMZINI ikashindikana,unamtaja na MUNGU kwamba anamuona! Wewe je huonekani au hutambuliki na hiyo dhamira yako ya uasherati? Halafu wewe na wanaokushabikia si mtaoa? Mtapenda binti zenu waje wawe wanagawa miili yao hovyo kizinzi? Blali fish.Ukitongoza mtoto na ww lazima uwe mtoto
Sasa mtoto wa miaka 19 anaweka nae malengo gani kama sio kutafta matatizo tu mkuu?Atakupa tu kuwa na subira alaf unaonekana unataka upige usepe huna malengo na mtoto wa watu
Amini kwamba, unamlia ubuyu tu!Sasa mbona unalalama watu kam hao unakula buyu tu
😆😆😆😆😆😆Miaka 18-20 hao ni wasumbufu sana hawana misimamo anaweza kukwambia kitu saivi alafu baada ya Massa 2 akakugeuka.
Kugongewa kimyakimya ndio malipo ya wanawake kwa madume ndezi, Ingekuwa mimi kwa upuuzi aliofanya ningempa ultimatum tu kisha ningepiga kimya. Isingepita week angekuwa kashanletea na kunibembeleza juu na vikauli vyao vile..."Kwahio ndio umekasirika jaman, me nilikuwa nakutania tu bebi" hapo baharia naweka kisula cha kazi akishasaula tu ndio naanza kulegeza masharti kwa tabasam la mbali 😆😆😆!fanya maamuzi ya kiume mpotezee tu mazima kwani mwanamke yupo peke yake? mwanamke hawezi kukuyumbisha ivyo halafu mwisho wa siku unakuja kichapiwa we endelea kusubiri jumba bovu likuangukie
Nyakati ngumu hizi mwanaume ukiwa unayumba unashindwa kufanya maamuzi magumu kila mtu atakupita umesimamaKugongewa kimyakimya ndio malipo ya wanawake kwa madume ndezi, Ingekuwa mimi kwa upuuzi aliofanya ningempa ultimatum tu kisha ningepiga kimya. Isingepita week angekuwa kashanletea na kunibembeleza juu na vikauli vyao vile..."Kwahio ndio umekasirika jaman, me nilikuwa nakutania tu bebi" hapo baharia naweka kisula cha kazi akishasaula tu ndio naanza kulegeza masharti kwa tabasam la mbali 😆😆😆!
Mwanaume lazma usimamie kile unachotaka always.
Njoo PM.
@Nyoka mwenye makengeza[emoji3]ushauri; Wachana na mademu kula bia
Hakika brazaNyakati ngumu hizi mwanaume ukiwa unayumba unashindwa kufanya maamuzi magumu kila mtu atakupita umesimama