Huyu mwanamke nimfanyeje?

Huyu mwanamke nimfanyeje?

Behind the camera

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
315
Reaction score
757
Aisee naongea kwa huzuni ambayo ina ubwege kidogo ndani yake. Lakini sitoona haya/ aibu kuizungumza mbele ya hadhira.

Kuna binti wa umri wa miaka 19 nilimtongoza miezi kadhaa ilopita (Kama miezi miwili hivi) akakubali.

Lakini wakati namuomba tunda akawa analeta sababu ambazo hazieleweki. Lakini nikavumilia tu na wakati huo nikiendelea kumhudumia kwa pesa ndogo ndogo kama vocha, chakula, mafuta, pedi nk.

Leo akaamua Kwa hiyari yake kuwa akitoka kanisani atanipa game nzuri tuu. Mwanaume nikajipanga ipasavyo nilienda kabisa maeneo ambayo tulipanga kukutana.

Nilipofika GHAFLA akanambia hebu usichukue chumba kwanza. Nikamwambia kwanini? Akasema mimi siwezi kufanya sex kwa sasa kama unataka nioe ninakuruhusu.

Aisee nguvu ziliniishia kiasi kwamba almanusura kuanguka chini kwa majibu yale ukizingatia nilishajipanga kula tunda la mrembo yule. Nikaona isiwe kesi. Jibu nililompa ni moja tu

"MUNGU ATAKULIPA KWA HILI"

Baada ya pale ili angalau kupunguza machungu moyoni nikaenda zangu gest nikachukua chumba, nikabonga na muhudumu nikamlipa pesa akanipa kimoja cha kufuta jasho nikarudi zangu home.

Hapa nimerudi geto nikiwa ninamuwaza huyu mwanamke nimfanye nini ili iwe fundisho?

Naomba ushauri kabla ya kuchukua maamuzi. Ila pia naomba radhi Kwa wanaume wenzangu kwa kitendo cha kuwaangusha. Naapa sitorudia tena.

NAWASILISHA

Behind the camera
 
Msimamo hatukatai. Ninapolaumu ni kuniandaa kisaikolojia kisha kunitema.

Angesema mapema mbona angeeleweka tuuh
Mapema si hivyo kaongea ya moyoni ulitaka siku ya Kwanzaa aseme siwezi kukupa tunda hadi ndoa.
 
Atakupa tu kuwa na subira alaf unaonekana unataka upige usepe huna malengo na mtoto wa watu
Kuwa mwanaume wewe malengo ndo kitu gani ?
Unaoa ukifika muda wa kuoa sio vinginevyo
Amini nakwambia ni ushamba kuoa mwanamke usiyemjua yaani hao wa mtindo huo
Mwanaume wa kweli unakuwa na mademu wako watatu then siku unataka kuoa unachagua kutoka kwenye hiyo sample kwa sababu wote unawajua tabia zao
 
Anataka mwanaume mwenye malengo nawe sio kati yao muache mtoto wa watu apate ataemuowa we endelea na mabaamedi
 
Ila kuwa na demu mmoja nacho ni kipaji Kama vipaji vingine....mm hcho kipaji Sina.....hapo ningemuita demu mwingne aje anipe show Safi,ningetoka hapo sina hata punje ya hasira na huyo demu...mahusiano yangeendelea tu na najua ipo siku isiyo na jina naye angeliwa tu
 
imeandikw asizini,
Mpoteze akatafute mtu wa kumuoa ambaye hatomgusa.
Mkuu ila pole bannaaa 😄😄😄😄😄😄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom