yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,904
- 3,414
Siyo lazima pia kutoweka duniani mpaka uwe umeshaoa.Bado bado unajua utakaa katika hii dunia kwa muda gani ?
Siyo lazima pia kutoweka duniani mpaka uwe umeshaoa.Bado bado unajua utakaa katika hii dunia kwa muda gani ?
Hapo hapendwi mtu inapendwa pochiBehind the camera,
Hii imenikumbusha hadithi ya rafiki yangu! Yeye alimpenda mrembo mmoja aliyekuwa akifanya kazi katika bar moja. Kadiri ya huyu rafiki yangu, ambaye kaoa, alitaka amchombeze huyu mrembo! Alianza kumtongoza lakini ikawa shida kukubaliwa. Kapewa sharti, ili apewe tunda basi ampe mtaji ili aanzishe biashara yake mwenyewe! Jamaa yangu yuko njia panda!
Siku ya pili usitumie alkasusu mpaka uwe na uhakika utakuja kuabika
[emoji23][emoji23]MUNGU ATAKULIPA KWA HILI"
Ha ha ha ha uchupa ... Komaaa
Hii ilinikuta Mkuu, tumekubaliana Vizuri na Mtoto kesho aibuke geto, kaenda kumuomba rafiki yake ushauri Si akampeperusha Aisee nilaani Sana,.Aliwasimulia wanakwaya wenzake. Mmoja mwenye wivu kambadili mawazo. Huyo ukimla ujue umekula group lake lote.
Umri huo hana maamuzi achana nae, ataileta mwenye akiwa na ch*pi mkononi.
Kuna Ka ukweliAliwasimulia wanakwaya wenzake. Mmoja mwenye wivu kambadili mawazo. Huyo ukimla ujue umekula group lake lote.
Umri huo hana maamuzi achana nae, ataileta mwenye akiwa na ch*pi mkononi.
Sijui anakwama wapi huyufanya maamuzi ya kiume mpotezee tu mazima kwani mwanamke yupo peke yake? mwanamke hawezi kukuyumbisha ivyo halafu mwisho wa siku unakuja kichapiwa we endelea kusubiri jumba bovu likuangukie
Hajui tabia zao huyu hasa hivi vya 19-20 atakuja achwa kwenye mataa aje kumwaga machozi humu mi nikiona dalili kama hizi natrot kama Kiptchoge hadi kituo kinachofuata no kugeuka nyumaSijui anakwama wapi huyu
Acha ukolo hawachiNampongeza huyo binti kwa msimamo wake
Yeapp..!Mpe muda wa kutosha wala usionyeshe kuwa hukupenda alichokifanya, yaelekea ana malengo mazuri na wewe. Kukimbilia kuomba mzigo na kulazimisha upewe yaonekana wewe ni mbinafsi. Msemo huu ni muhimu kuuzingatia, mvumilivu hula mbivu
Ukolo?Acha ukolo hawachi