The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,857
Tumia KY
hiii ndio JF bwana.Hayo umeyajulia wapi wakati wewe bikra?
Kisukari mambo vipiWanaume wengine mna tabia mbaya.mambo madogo ya chumbani mnakuja kuyaleta humu.haipendezi kwa kweli.
LadyAJ mambo vipiHili ndio tatizo la Ku date na wavulana, mkimaliza tu huyoo anatafuta wa kumsimulia, asante kwa taarifa siku na wewe ukiwa unapigishwa makelele uje utupe tena habari
ila wavulana ndio wenye tabia ya kusimulia kila wanaloliona, hivi mkuu wewe ulililiza au alijiliza? Mbona unatuchanganya na maandiko yako ina maana hakuna kazi uliyofanyaMuache hii tabia ya hovyo mnaudhi,hii ni message kwenu,kwani unadhani ni huyu tu?btw mi sio mvulana,wavulana hawana uwezo wa kuliza jitu zima.
Muache wizi kitandaniAdi mpate admission za chuo ndio tutapumua na mada za kutia kinyaa humu.... pumbavuuuuu
mambo ya kulia na kujiliza mnayajua nyie cha msingi ni kuacha tabia ya wizi,vigoal viwili tu miguu inatetemeka!!ila wavulana ndio wenye tabia ya kusimulia kila wanaloliona, hivi mkuu wewe ulililiza au alijiliza? Mbona unatuchanganya na maandiko yako ina maana hakuna kazi uliyofanya
inawezekana una ukakasimambo ya kulia na kujiliza mnayajua nyie cha msingi ni kuacha tabia ya wizi,vigoal viwili tu miguu inatetemeka!!
We kinyeo kua na adabu sio wote wauzaji wenzio humu. Hujui jinsia ya mtu tulia sio unapaparika hovyoMuache wizi kitandani
Sasa wa hivyo unamkuta anapiga mikelele hadi majirani wanatamani kujua kulikoni huko chumbanikwa kweli kuna waschana wana matundu ni noma hata mkono wa mtu mzima unaingia tena na ngumi kakunja kabisa
[emoji28][emoji28][emoji28]Sasa si ungemwambia yeye... umesubiri ameondoka au yuko humi jf