Huyu mwanamke kaniudhi sana leo

Huyu mwanamke kaniudhi sana leo

utadhani ana kitundu kumbe ana mtundu
😀😀😀😀 Ushakojoa ndio unakuja kumtusi mwenzio humu.
kingine sasa ile napanda tena nikasikia bby miguu inatetemeka jamani kwani mwataka tupige ngapi
Mmhh kusema hivyo huyo itakuwa mwanamke wake mshana jr amefungwa matunguli huyo alitaka kupandisha mashetani.😀😀😀
 
Wanaume wengine mna tabia mbaya.mambo madogo ya chumbani mnakuja kuyaleta humu.haipendezi kwa kweli.
Inawezekana kabsa kuwa ni huyo mwanamume ndie mwenye maumbile mfano wa kidole cha mwisho kwa kuogopa kusemwa anaamua kujifukizia kwa kuwahi kusema yeye
 
Wewe, mama Ndali.... keshakupeni pesa ya field?
 
Hili ndio tatizo la Ku date na wavulana, mkimaliza tu huyoo anatafuta wa kumsimulia, asante kwa taarifa siku na wewe ukiwa unapigishwa makelele uje utupe tena habari
 
Hili ndio tatizo la Ku date na wavulana, mkimaliza tu huyoo anatafuta wa kumsimulia, asante kwa taarifa siku na wewe ukiwa unapigishwa makelele uje utupe tena habari
Muache hii tabia ya hovyo mnaudhi,hii ni message kwenu,kwani unadhani ni huyu tu?btw mi sio mvulana,wavulana hawana uwezo wa kuliza jitu zima.
 
Mkuu k kubwa na maji mengi kama wanyarwanda af analalamika,kitu hakina ladha kabisa af fyoko fyoko tuu,
halafu eti unaambiwa hayo ni mambo ya chumbani usiyalete huku,kha!sasa watajuaje kama wanatuudhi na ujinga wao
 
Inawezekana kabsa kuwa ni huyo mwanamume ndie mwenye maumbile mfano wa kidole cha mwisho kwa kuogopa kusemwa anaamua kujifukizia kwa kuwahi kusema yeye
Ungekua mwanaume ungeelewa nnachomaanisha.
 
Back
Top Bottom