Huyu mwanamke ananifaa au niachane nae?

Huyu mwanamke ananifaa au niachane nae?

Ww miss chagga hata huyu ni mchaga mwenzio kwann mnasumbua
 
Tatzo co tatzo ila chanzo cha tatizo,
Acha mazoea na hao wakina Dada coz hawana msaada kwako.
Huyo Dada anakupnda kwa chat,ana wivu ndio maana.
Unakuwaje na mazoea na wanawake kiivo adi ysmletee MTU was was
?????
Acha kumlaumu binti wa Watu wakat wew ndo una malezi sifuri na hujitambui kabisaaaa.

unachekesha sana, kwahiyo hiyo tabia ya kutukana hata marafiki zake ni sawa. Ndio maana wanawake wanaachwa harafu wanajiuliza kwanini. Sababu ya mwanamke mwanaume asiwe na marafiki tena eti watatukanwa. huyo binti hana adabu na akimuoa ni tabu hata wakwe zake atawatukana. huwezi kuchukua namba ya mtu sababu umeikuta kwa simu ya mpenzi wako na kurusha matusi na hapo ni kwamba hana proof kuwa ana mapenzi nao.

mpeperushe ajifunze adabu kama kweli anataka kubadilika, ukimwendekeza atakuletea majanga na ndoa mbaya, utajuta.
 
Habari na ninawasalimia kwa jina la JF,

Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda kidogo, lakini kinachonishangaza ni kwamba ikitokea nimesahau simu yangu huwa anaichukua na kuikagua na akikuta kuna namba ya mwanamke hasa wale ambao nimesoma nao huwa tunapenda kutaniana yeye uchukulia kama ni mtu wangu kwahiyo huchukua namba hiyo na kuanza kuwaporomoshea matusi ya nguoni bila hata kuniuliza niko nae vipi.

Baadae hao watu hunipigia simu kuniambia hali hiyo. Mpaka kuna siku moja alinipigia simu dada yangu mida ya jioni na siku hiyo huyu dada nilikuwa nae akaniambia wasichana wako wameanza kiukweli nilikasirika sana kuniambia hivyo. Je, Huu wivu wa kimapenzi mpaka kuwaporomoshea watu matusi ya nguoni au malezi sifuri.

Naomba ushauri wenu.
Mwambiye ukweli
 
Mpeleke mkoleni huyo msungo hajafundwa bado! mwanamke kamili hana hulka hiyo
 
Mmmh huyo atachoma mtu kisu hapo hamjaoana na mkioana si atageuka John Cena ndani ya nyumba...wivu wa hivo hamfiki kokote walah
 
Unakuta janaume lina Mke kabisa lkn linawasiliana na wasichana romantically ukiuliza rafiki, namsapotiiii acha Huo ujinga uone km ataendelea, mbona hajamtukana mama ako??????
Mbona hajatukana wanaume???????
Jirekebishe kwanza co kulaumu wanawake eti maleziiiiii wew unamalezi gain kwa mfano
Take five
 
Habari na ninawasalimia kwa jina la JF,

Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda kidogo, lakini kinachonishangaza ni kwamba ikitokea nimesahau simu yangu huwa anaichukua na kuikagua na akikuta kuna namba ya mwanamke hasa wale ambao nimesoma nao huwa tunapenda kutaniana yeye uchukulia kama ni mtu wangu kwahiyo huchukua namba hiyo na kuanza kuwaporomoshea matusi ya nguoni bila hata kuniuliza niko nae vipi.

Baadae hao watu hunipigia simu kuniambia hali hiyo. Mpaka kuna siku moja alinipigia simu dada yangu mida ya jioni na siku hiyo huyu dada nilikuwa nae akaniambia wasichana wako wameanza kiukweli nilikasirika sana kuniambia hivyo. Je, Huu wivu wa kimapenzi mpaka kuwaporomoshea watu matusi ya nguoni au malezi sifuri.

Naomba ushauri wenu.
Hivi msichana anaependa kiasi icho had kuwa na na wivu wa kupitiliza nahisi kwa mikin hakuna. Uyo wako yupo wapi, ikibd tuonyeshe tuone ata muonekano wake!!
 
Madem wa aina hiyo simu zao kuzigusa wewe wanakua hawataki .Ninyi kwa nini mnafanya hivyo.ukiwa na mtu humpendi mwache kuliko kutubuaan nyongo namna hio
 
We ukikuta anataniana na wanaume utajisikiaje, utafanyaje..... Ovyooo
 
Sio kwamba wale no madem zangu, hiv mtu akikwambia amekumis let say huyo ni demu wako
hivi dem yeyote akikwambia anakumis huwa kakumbuka nini? mbona salam zisizo na utata zipo nyingi tu.....hebu jiulize ni jambo la kawaida mwanaume kumtumia mwanaume mwenzie viji meseji eti nimekumis? mimi ni mwanaume lakini huwa siamini kama urafiki kati ya ke na me na uweza kuwa wa karibu sana bila ya kuishia kwenye sexual relationship...ni mtazamo tu...
 
Back
Top Bottom