Huyu mwanamke ameniroga,,,

Huyu mwanamke ameniroga,,,

Boss nauli nilimpa tena hakuomba
Mimi huwa najali sana amani na uhusiano kuliko chochote.. Na sio nauli tu hadi chai nilipika kwa ajili yake ili ajisikie amani zaidi
Hahahaaaaaaa daah huyo ni kiboko tena inaonyesha amekubuhu haswaaa
Ulikumbuka lkn kumpa pesa yake ya nauli?

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujarogwa mkuu,,,ni TAMU KUNOGA TU,,hata mm Nina matatizo hayo mkuu,,,mwanamke TAKA TAKA Mimi simuwezi,,,nina VIGEZO VYANGU,,mfano mwanamke MAZIWA YAMELALA kama masikio ya TEMBO,,,au tumbo lina makunyanzi kibao kama NGOZI YA MAMBA,,,,kwenye MAPAJA amejaa MAPUNYE na MABAKA MABAKA MEUSI unadhani ITASIMAMA VP?mwanamke lazima awe na MVUTO,,,na RANGI,,NGOZI,,mororo,,ZIWA HATA KAMA KUBWA lakini NI DODO,,AU DAFU,,yaani LIMEJAA,,tumbo KITOVU KIMEINGIA NDNI , ,kwann USIPIGE GOLI NYINGI?mwanamke NGOZI ya MAPAJA ngumu kama Ya KISIGINO?Mimi mkuu pia siwawezi.....dawa YAKE ni kula UNACHOPENDA,,sio kula UNACHOKIONA....na sio kila mwanamke ni kwa ajili yako,,,waachie wale WAZEE WA MALAPULAPU,,,akipata mwanamke YEYOTE twende,,mradi tu ana PAPUCHI yeye hajali,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii wa upande wa pili naona wengi wameijibu kwa kupaniki sana, wengi humu kinacho wabeba ni kujificha nyuma ya kibodi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona hueleweki sms yako ya kwanza umekosoa maumbile hii unazungumzia uchafu point yako iko wapi kwani ?
hapo sasa! halaf sasahivi Hajakashif maZiwa km alivokashif mwanzo nahisi kajishtukia, ukikashif maungo ya mwanamke ni sawasawa na kumkashif mamako, Dada yako, binti zako, shangazi zako maana hata wao pia wana maungo hayohayo waliopewa wanawake wengine. Kwenye ukoo wake hawakosekani wenye maziwa ya kulala,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu,,naona wengi wametoka MAPOVU. ,,pengine jiwe limepiga MTU GIZANI..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokwa povu Wala si kwasabab eti jiwe limempata mtu! Wengine hatujazaa na miili yetu ipo vizuri haswa lakini Hatuwez kukaa kimya unavokashif maumbile ya wanawake while ww mwenyewe umezaliwa na mwanamke na utapata watoto wakike pia! Ndomana waschana wengi skuhz wanakataa kunyonyesha + kuzaa kawaida wanaona wataharib miili yao na hawatovutia tena yote hio kuendekeza wanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazindulie basi dawa za kusimamisha maziwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wawaulize wenzao,,wanafanya MAUJANJA GANI?na labda nikufahamishe MKUU,,, ziwa DODO sio lililosimama,,basi linakuwa kubwa lakini limejaa,,,tatizo UKWL MCHUNGU,,,na KUSEMA UKWELI siku zote,,,UNATAKIWA UVUMILIE MENGI,,,,MAPOVU ,,,KEJELI,,,ma MATUSI,,,wapo WADADA wana watoto 3 na bado ukimuona UNAMTAMANI,,,,wao WENGINE .wanajuwa KUWEKA MAWIGI,,na MAKOPE YA MACHO...wamesahau MAZOEZI,,,na KUWEKA mwili FITNESS, ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wawaulize wenzao,,wanafanya MAUJANJA GANI?na labda nikufahamishe MKUU,,, ziwa DODO sio lililosimama,,basi linakuwa kubwa lakini limejaa,,,tatizo UKWL MCHUNGU,,,na KUSEMA UKWELI siku zote,,,UNATAKIWA UVUMILIE MENGI,,,,MAPOVU ,,,KEJELI,,,ma MATUSI,,,wapo WADADA wana watoto 3 na bado ukimuona UNAMTAMANI,,,,wao WENGINE .wanajuwa KUWEKA MAWIGI,,na MAKOPE YA MACHO...wamesahau MAZOEZI,,,na KUWEKA mwili FITNESS, ,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Mkuu umekosea bwana comment yako ya mwanzo umekashif sana maungo ya wanawake, Sisi hatuzungumzii suala la uchafu maana wanawake tunatofautiana wapo wanaojipenda na wasiojipenda!tumekasirishwa ulivochambua maziwa, makunyazi, tumbo while wengi wanaharibika baada ya kuzaa na haihusiani na uchafu. Inakua unatukatisha tamaa wengine kuzaa kwa kuhofia kuonekana kinyaa. Kwa kweli you were so rude, hamna mwanamke anaejielewa atakubal amvulie nguo mtu anaekosoa mwili wa mwanamke namna ulivochambua ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokwa povu Wala si kwasabab eti jiwe limempata mtu! Wengine hatujazaa na miili yetu ipo vizuri haswa lakini Hatuwez kukaa kimya unavokashif maumbile ya wanawake while ww mwenyewe umezaliwa na mwanamke na utapata watoto wakike pia! Ndomana waschana wengi skuhz wanakataa kunyonyesha + kuzaa kawaida wanaona wataharib miili yao na hawatovutia tena yote hio kuendekeza wanaume. Mxxxyuuuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani KASHFA IPO wapi hapo?hivi kati ya wewe mwanamke na sisi wanaume nani ANAMJUWA VIZURI MWANAMKE?wewe unaishia kumuona MWANAMKE mwenzio akiwa na NGUO,,sisi ndy tunawajuwa VIZURI,,,kwann uone kama unaonewa?BADILIKENI,,,,nyie mnaona UREMBO NI WIGI NA MAKOPE YA MACHO,,,mmesahau KUWEKA mwili FIT,,,ni LINI Mara ya mwisho kufanya japo mazoezi?UKWL MCHUNGU mkuu,,,,POVU HALITOKUSAIDIA,,fanyia kazi tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana Mkuu umekosea bwana comment yako ya mwanzo umekashif sana maungo ya wanawake, Sisi hatuzungumzii suala la uchafu maana wanawake tunatofautiana wapo wanaojipenda na wasiojipenda!tumekasirishwa ulivochambua maziwa, makunyazi, tumbo while wengi wanaharibika baada ya kuzaa na haihusiani na uchafu. Inakua unatukatisha tamaa wengine kuzaa kwa kuhofia kuonekana kinyaa. Kwa kweli you were so rude, hamna mwanamke anaejielewa atakubal amvulie nguo mtu anaekosoa mwili wa mwanamke namna ulivochambua ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
UKWL MCHUNGU MKUU,,,lakini wapo wanawake wenzio wana watoto zaidi ya 4 lakini bado WATAMU zaidi ya USINGIZI WA ALFAJIRI,,,,wanazingatia KANUNI ZOTE ZA UREMBO,,,kama ni kasha basi PENGINE MNATAKA KUGEUZA UKWELI kuwa kashfa,,,lakini hakuna kashfa hapo,,ni UKWELI MTUPU,,,,,na mbona UMEZUNGUMZIA maziwa na makunyanzi peke YAKE?hujagusia MABAKA MABAKA MEUSI MAPAJANI?kwani kuna UHUSIANO WOWOTE NA kuzaa??wenzenu walifanyia kazi tatizo,,,, sio kutokwa MAPOVU...kuna wanawake kibao wamezaa na bado ukiwaona utatamani UMGEGEDE,,,yaani FULL KUTAMANISHA,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom