Huyu mtu hapaswi kusamehewa kabisa

Huyu mtu hapaswi kusamehewa kabisa

Mdaiwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2025
Posts
696
Reaction score
1,533
Kila nikizingalia hizi picha za mauaji na majeruhi roho inakufa ganzi. Huyu mtu ni katiri sana, hafai kabisa. Picha zinaumiza mno.

Halafu anakuambia hajali chochote, nguvu iliyotumika ni sahihi, seriously? Huyu ni mtu au shetani?

Watanzania tusimsamehe huyu mtu pamoja na wote wanaomtetea.

Huyu mtu ni jini mnywa damu atatumaliza wote.

We are not safe at all.
 
Kila nikizingalia hizi picha za mauaji na majeruhi roho inakufa ganzi. Huyu mtu ni katiri sana, hafai kabisa. Picha zinaumiza mno.

Halafu anakuambia hajali chochote, nguvu iliyotumika ni sahihi, seriously? Huyu ni mtu au shetani?

Watanzania tusimsamehe huyu mtu pamoja na wote wanaomtetea.

Huyu mtu ni jini mnywa damu atatumaliza wote.

We are not safe at all.
Alisema ni sahihi kwasababu 2001 kuna wapemba waliuwawa hivyo anahisi ni sisi watanganyika tuliua na ni sawa mzanzibari naye akaua watanganyika.
 
Back
Top Bottom