Kila nikizingalia hizi picha za mauaji na majeruhi roho inakufa ganzi. Huyu mtu ni katiri sana, hafai kabisa. Picha zinaumiza mno.
Halafu anakuambia hajali chochote, nguvu iliyotumika ni sahihi, seriously? Huyu ni mtu au shetani?
Watanzania tusimsamehe huyu mtu pamoja na wote wanaomtetea.
Huyu mtu ni jini mnywa damu atatumaliza wote.
We are not safe at all.
Halafu anakuambia hajali chochote, nguvu iliyotumika ni sahihi, seriously? Huyu ni mtu au shetani?
Watanzania tusimsamehe huyu mtu pamoja na wote wanaomtetea.
Huyu mtu ni jini mnywa damu atatumaliza wote.
We are not safe at all.